-
Qatar: Saudia inaendesha kisiasa Ibada ya Hijja
Jul 30, 2017 15:13Kamisheni Taifa ya Haki za Binadamu nchini Qatar imelalamikia vikali uendeshaji wa kisiasa wa ibada tukufu ya Hijja unaofanywa na utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia.
-
Saudia yakubali masharti ya Iran kuhusu ibada ya Hijja
Mar 03, 2017 08:12Saudi Arabia imekubali mapendekezo yalitolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kulindwa mahujaji wa taifa hili katika ibada ya Hijja.
-
Mufti wa Algeria aikosoa vikali Saudia kwa kuongeza gharama za Hija, Umrah
Dec 10, 2016 02:46Mufti Mkuu wa Algeria ameukosoa vikali utawala wa Saudia Arabia kwa vitendo vyake vya kuwazuia Waislamu kutekekeleza ibada ya faradhi ya Hija na pia Umrah
-
Saudia yazuia Wasyria kuhiji kwa mwaka wa tano mfululizo
Sep 12, 2016 06:42Utawala wa ukoo wa Aal Saud kwa mwaka wa tano mfululizo umewazuia Mahujaji kutoka Syria kuingia Saudi Arabia kutekeleza Ibada ya Hija.
-
Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi
Sep 12, 2016 02:36Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu duniani salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Adha.
-
Siku ya Arafa, fursa kwa ajili ya dua na kuomba maghufira
Sep 08, 2016 19:40Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kuzungumzia siku ya Arafa yaani mwezi Tisa Mfunguo Tatu Dhulhija. Makala yetu tumeipa jina la Siku ya Arafa, fursa kwa ajili ya dua na kuomba maghufira. Ni matumaini yangu mtakuwa nami hadi mwisho wa kipindi.
-
Ujumbe kwa Mahujaji wa Nyumba tukufu ya Allah (1437 Hijria) + SAUTI
Sep 05, 2016 10:25Kwa jina la Allah, Mwingi wa rehma Mwenye kurehemu Na hamdu zote ni za Allah Mola wa viumbe wote. Na rehma na amani zimshukie bwana wetu Muhammad na Aali zake watukufu na masahaba zake wema na wote waliowafuata wao kwa mema mpaka Siku ya Malipo
-
Pakistan: Saudia ikabidhi usimamizi wa Hija kwa jamii ya Waislamu
Sep 06, 2016 15:16Naibu Spika wa Bunge la Pakistan katika jimbo la Sindh ameitaka serikali ya Saudi Arabia ikabidhi usimamizi wa ibada ya Hija kwa jamii ya Waislamu duniani.
-
Maafa ya Mina (1)
Sep 05, 2016 11:57Assalaamu Alaykum Wapenzi Wasikilizaji na karibuni katika sehemu ya kwanza ya mfululizo wa vipindi hivi maalumu vitakavyochunguza kwa kina Maafa ya Mina yaliyotokea katika msimu wa ibada ya Hija mwaka jana; ambapo maelfu ya Mahujaji wa nyumba ya Mwenyezi Mungu wakiwemo Mahujaji 464 wa Iran wakipoteza maisha katika Hija wakati wa kutekeleza ibada ya kumpiga mawe shetani katika eneo la Mina.
-
Maafa ya Mina (5)
Sep 05, 2016 08:57Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum. Wazikilizaji wapenzi, tunaendelea na mfululizo wa vipindi vyetu hivi maalumu vya Hija ambapo tunazungumzia kumbukumbu ya tukio chungu la maafa ya eneo takatifu la Mina katika ibada ya Hija mwaka jana 1436 Hijria.