Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Amali za Hija

  • Saudia yafanya njama ya kuwakwamisha Wayemen wasiende Hija tena kwa mwaka wa pili

    Saudia yafanya njama ya kuwakwamisha Wayemen wasiende Hija tena kwa mwaka wa pili

    Aug 02, 2016 15:54

    Wizara ya Waqfu ya Yemen imetangaza kuwa Saudi Arabia inafanya njama za kuwakwamisha kwa mwaka wa pili mfululizo mahujaji kutoka Yemen wasiende nchini humo kutekeleza ibada ya Hija.

  • Kuimarishwa udiplomasia wa Hija baina ya nchi za Kiislamu

    Kuimarishwa udiplomasia wa Hija baina ya nchi za Kiislamu

    Jul 21, 2016 11:02

    Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.

  • 18 Wajeruhiwa katika msongamano mkubwa Makka

    18 Wajeruhiwa katika msongamano mkubwa Makka

    Jul 02, 2016 13:29

    Waislamu 18 waliokuwa katika Ibada ya Umrah wamejeruhiwa kufuatia msongamano mkubwa katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, miezi sita tu baad aya maelfu kupoteza maisha katika Ibada ya Hija mwaka jana.

  • Waislamu Uganda wataka Hija isimamiwe kimataifa

    Waislamu Uganda wataka Hija isimamiwe kimataifa

    Jun 14, 2016 08:32

    Waislamu nchini Uganda wamehimiza kusimamiwa kimataifa amali ya Hija hasa kutokana na vifo vingi vilivyotokea katika msimu wa mwaka jana wa Hija. Mwandishi wa Radio Tehran ametuandalia ripoti ifuatayo kutoka Kampala. Gonga kwenye picha kusikiliza ripoti hiyo

  • Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu

    Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu

    Jun 13, 2016 07:11

    Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Thaqalyn mjini Kano, kaskazni mwa Nigeria amesema hatua ya utawala wa Saudia kuwazuia mahujaji Wairani mwaka huu ni kitendo kilicho dhidi ya dini na mantiki.

  • Nchi za Kiislamu zibadili usimamizi wa Hija

    Nchi za Kiislamu zibadili usimamizi wa Hija

    Jun 06, 2016 03:49

    Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara za Kidini la Iran amesema kuna udharura wa nchi za Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu kuanzisha mkakati wa kubadilisha muundo wa usimamizi wa Ibada ya Hija na kuzuia mwenendo wa ubaguzi na utumiaji mabavu wa Saudi Arabia kuhusu ibada hiyo ya kila mwaka.

  • Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as): Hatua ya Aal Saud ni ya kufuru

    Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as): Hatua ya Aal Saud ni ya kufuru

    May 31, 2016 15:35

    Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) limetoa taarifa na kutangaza kuwa utawala wa Aal Saud umefanya kitendo cha kufuru kuwazuia mahujaji wa Kiirani wasifanye safari ya kwenda kutekeleza ibada ya Hija.

  • Saudia ibebe lawama za kushindwa Wairani kwenda Hija mwaka huu

    Saudia ibebe lawama za kushindwa Wairani kwenda Hija mwaka huu

    May 31, 2016 07:46

    Mkuu wa Idara ya Ghuba ya Uajemi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, ukoo tawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia ndio unaopaswa kubeba lawama za kushindwa Waislamu wa Iran kwenda Hija mwaka huu.

  • Shamkhani: Aal Saudi wamewazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Shamkhani: Aal Saudi wamewazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    May 31, 2016 04:18

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ukoo wa Aal Saud ndio uliowazuia Wairani wasitekeleze amali za Hija yenye izza na heshima.

  • Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani

    Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani

    May 31, 2016 03:42

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amelaani hatua ya Saudia kuwazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu na kusema hatua hiyo ni kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS