Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Araqchi

  • Araqchi: Pwani ya Iran ni lango la kuunganisha uchumi wa dunia

    Araqchi: Pwani ya Iran ni lango la kuunganisha uchumi wa dunia

    Feb 16, 2025 13:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa pwani ya Iran ni njia ya kuunganisha uchumi wa dunia.

  • Iran yamweleza Guterres: UN ichukue msimamo thabiti kuhusu njama ya Trump dhidi ya Palestina

    Iran yamweleza Guterres: UN ichukue msimamo thabiti kuhusu njama ya Trump dhidi ya Palestina

    Feb 11, 2025 02:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi amesema Umoja wa Mataifa, hasa Baraza lake la Usalama, lazima uchukue msimamo "imara na wa wazi" dhidi ya mpango wa Marekani na Israel unaolenga kuwaondoa kwa nguvu Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza.

  • Iran yasisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati ya kuwakamata Netanyahu na Gallant

    Iran yasisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati ya kuwakamata Netanyahu na Gallant

    Nov 26, 2024 08:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kuwatia nguvuni Benjamin Netanyahu na Yoav Gallant, waziri mkuu na waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Araqchi: Ipo nia ya dhati ya kupanua ushirikiano na Syria katika nyanja zote

    Araqchi: Ipo nia ya dhati ya kupanua ushirikiano na Syria katika nyanja zote

    Nov 20, 2024 02:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina nia ya dhati ya kupanua ushirikiano kati yake na Syria katika nyanja jzote.

  • Araghchi: Iran inaitambua haki ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa

    Araghchi: Iran inaitambua haki ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa

    Nov 05, 2024 13:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu haitaki kuzusha mivutano lakini inatambua haki yake ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa.

  • Araqchi aionya Israel: Iran ina mbinu za kulinda taasisi zake za nyuklia

    Araqchi aionya Israel: Iran ina mbinu za kulinda taasisi zake za nyuklia

    Oct 22, 2024 15:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameuonya utawala wa Kizayuni Israel dhidi ya kufanya mahesabu mabaya na kusisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inategemea zana za kijeshi zilizotengenezwa hapa nchini na pia mbinu mbalimbali ili kulinda taasisi zake za nyuklia zenye malengo ya kiraia.

  • Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuungana kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni

    Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuungana kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni

    Sep 29, 2024 06:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zina wajibu wa kuungana na kushikamana katika kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Palestina na Lebanon.

  • Abbas Araghchi: Muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni utaendelea hadi ukombozi wa Palestina

    Abbas Araghchi: Muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni utaendelea hadi ukombozi wa Palestina

    Sep 21, 2024 12:13

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, mapambano na muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni yataendelea hadi ukombozi wa wananchi wa Palestina utakapopatikana.

  • Kuunga mkono Iran maamuzi ya wananchi na muqawama wa Palestina

    Kuunga mkono Iran maamuzi ya wananchi na muqawama wa Palestina

    Sep 04, 2024 12:41

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa, Tehran inaunga mkono makubaliano na uamuzi wowote wa makundi ya muqawama na wananchi wa Palestina.

  • Kipaumbele cha sera za kigeni za Iran; nchi jirani, eneo na muqawama

    Kipaumbele cha sera za kigeni za Iran; nchi jirani, eneo na muqawama

    Aug 25, 2024 12:15

    Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema kuwa kipaumbele cha kwanza katika sera za kigeni ni nchi jirani na kipaumbele cha pili ni kupanua uhusiano na Afrika, Amerika ya Latini na Asia Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS