Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Araqchi

  • Iran yafafanua mchakato wa kuachiwa huru raia wake 3 kwa kubadilishana na jasusi wa Israel

    Iran yafafanua mchakato wa kuachiwa huru raia wake 3 kwa kubadilishana na jasusi wa Israel

    Nov 27, 2020 12:32

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa ametoa ufafanuzi kuhusu namna raia watatu wa Iran walivyoachiwa huru mkabala na Jamhuri ya Kiislamu kumwachia jasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Araqchi: Iran haitaacha haki yake isiyo na shaka kwa sababu tu ya ubabe wa Marekani

    Araqchi: Iran haitaacha haki yake isiyo na shaka kwa sababu tu ya ubabe wa Marekani

    Jul 27, 2020 03:41

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani ni haki ya wazi na isiyo na shaka ya wananchi wa Iran na akasisitiza kuwa: Licha ya kuitolea gharama kubwa kutokana na vikwazo, Jamhuri ya Kiislamu haitaiacha haki yake hiyo ya wazi kabisa kwa sababu tu ya ubabe wa Marekani.

  • Kusajiliwa kanali ya kifedha ya Ulaya; hatua iliyochelewa lakini inayotia matumaini

    Kusajiliwa kanali ya kifedha ya Ulaya; hatua iliyochelewa lakini inayotia matumaini

    Feb 01, 2019 12:55

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha kuzinduliwa mfumo maalumu wa kifedha wa nchi za Ulaya unaolenga kudumisha ushirikiano wa kiuchumi na Iran, ikiwa ni hatua ya kwanza iliyochukuliwa na nchi hizo kuhusiana na mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA.

  • Araqchi: Kusajiliwa mfumo wa mabadilishano ya kifedha ni hatua ya kwanza ya Ulaya katika kutekeleza ahadi kwa Iran

    Araqchi: Kusajiliwa mfumo wa mabadilishano ya kifedha ni hatua ya kwanza ya Ulaya katika kutekeleza ahadi kwa Iran

    Jan 31, 2019 14:55

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema: "Kusajiliwa mfumo wa mawasiliano ya kifedha ni hatua ya kwanza ya Ulaya katika kutekeleza ahadi kwa Iran, na matumaini yetu ni kwamba mfumo huo utatekelezwa kikamilifu."

  • Maendeleo yamepatikana katika mazungumzo ya nyuklia ya Iran na Ulaya

    Maendeleo yamepatikana katika mazungumzo ya nyuklia ya Iran na Ulaya

    May 28, 2018 07:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika kipindi cha wiki mbili zilizopita kumepatikana maendeleo mazuri katika mazungumzo baina ya Iran na nchi za Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA, lakini bado matoeko yanayofaa hayajapatikana.

  • Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 16, 2018 06:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.

  • Araqchi: Quds ni mji mkuu wa asili wa Ulimwengu wa Kiislamu

    Araqchi: Quds ni mji mkuu wa asili wa Ulimwengu wa Kiislamu

    Jan 31, 2018 15:32

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Ni yakini kwamba Quds tukufu ni mji mkuu wa asili wa Ulimwengu wa Kiislamu na utarejea mikononi mwa Umma wa Kiislamu.

  • Mtazamo wa Iran kuhusu njia za kuleta usalama Asia Magharibi (Mashariki ya Kati)

    Mtazamo wa Iran kuhusu njia za kuleta usalama Asia Magharibi (Mashariki ya Kati)

    Nov 16, 2017 07:44

    Sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) zimejengeka katika msingi wa kuleta amani, uthabiti na utulivu. Iran inafualitia sera za kupunguza migogoro na malumbano katika eneo na inashiriki katika mipango yote yenye kufikia lengo hilo.

  • Araqchi: Hatua ya Kongresi ya Marekani ni mwendelezo wa uadui wa Washington dhidi ya Iran

    Araqchi: Hatua ya Kongresi ya Marekani ni mwendelezo wa uadui wa Washington dhidi ya Iran

    Jul 30, 2017 07:56

    Mkuu wa timu ya Iran ya kufuatilia utekelezwaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) amesema kuwa, hatua ya hivi karibuni ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha vikwazo vipya dhidi ya Iran ni hatua ya kiuadui na chuki dhidi ya Tehran.

  • Araqchi: Mazingira yaliyojengwa na serikali ya Trump kuhusiana na JCPOA hayakubaliki

    Araqchi: Mazingira yaliyojengwa na serikali ya Trump kuhusiana na JCPOA hayakubaliki

    Apr 26, 2017 02:33

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema serikali mpya ya Marekani imejenga anga na mazingira ya utata, shaka na mkanganyo kuhusiana na hatima ya makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS