-
Jumatano, tarehe Pili Oktoba, 2024
Oct 02, 2024 03:11Leo ni Jumatano tarehe 28 Mfunguo Sita Rabiu Awwal 1446 Hijria mwafaka na tarehe Pili Oktoba 2024.
-
Mamlaka za Ghaza zairejeshea Israel miili 88 ya Wapalestina isiyo na 'utambulisho' wowote
Sep 26, 2024 05:12Mamlaka za Palestina katika Ukanda wa Ghaza zimeurejeshea utawala wa Kizayuni wa Israel kontena lililobeba miili ya Wapalestina 88 ambayo haitambuliki kutokana na kutoambatanishwa na taarifa zozote kuhusu utambulisho wao.
-
Jumapili, Pili Juni, 2024
Jun 02, 2024 02:24Leo ni Jumapili tarehe 24 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1445 Hijria sawa na tarehe Pili Juni 2024 Miladia.
-
Jumamosi, 14 Oktoba, 2023
Oct 14, 2023 03:03Leo ni Jumamosi 28 Mfunguuo Sita Rabiul-Awwal 1445 Hijria mwafaka na tarehe 14 Oktoba 2023 Miladia.
-
Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza
Oct 13, 2023 11:37Huku utawala wa Kizayuni ukiendeleza hujuma na vita vyake vya jinai dhidi ya watu wasio na hatia wa Ukanda wa Gaza, Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasisitiza ulazima wa kukomeshwa jinai hizo za Wazayuni kwa kufanya safari katika nchi kadhaa za eneo.
-
Ijumaa, tarehe 6 Oktoba, 2023
Oct 06, 2023 02:48Leo ni Ijumaa tarehe 20 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Oktoba 6 mwaka 2023.
-
Serikali ya Iraq yasambaratisha genge la kigaidi mjini Baghdad
Sep 18, 2023 10:45Shirika la Usalama wa Taifa la Iraq limetangaza habari ya kusambaratishwa na kutiwa mbaroni kanali ya kigaidi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad.
-
Jumanne, tarehe 15 Agosti, 2023
Aug 15, 2023 02:25Leo ni Jumanne tarehe 28 Muharram 1445 Hijria inayosadifiana na Agosti 15 mwaka 2023.
-
Duru mpya ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia kufanyika hivi karibuni Baghdad, Iraq
Feb 10, 2023 02:26Waziri Mkuu wa Iraq ametangaza kuwa duru mpya ya mazungumzo kati ya Iran na Saudi Arabia itafanyika hivi karibuni mjini Baghdad.
-
Alkhamisi, tarehe Pili Februari, 2023
Feb 02, 2023 02:08Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Rajab 1444 Hijria sawa na Pili Februari mwaka 2023.