Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Iravani: Silaha zilizotumiwa katika uvamizi dhidi ya Iran zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za Kiarabu

    Iravani: Silaha zilizotumiwa katika uvamizi dhidi ya Iran zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za Kiarabu

    Apr 15, 2026 08:08

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amepinga madai ya Bahrain, akisema: Mabaki yaliyopatikana kutoka kwenye silaha zilizotumiwa katika mashambulizi ya miji ya Iran yanathibitisha kuwa silaha hizo zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za kiarabu za Ghuba ya Uajemi.

  • Kiongozi wa upinzani Bahrain ahukumiwa kifungo jela, atozwa faini kwa kuikosoa Israel

    Kiongozi wa upinzani Bahrain ahukumiwa kifungo jela, atozwa faini kwa kuikosoa Israel

    Jan 12, 2026 02:32

    Wanaharakati nchini Bahrain wameelezea wasiwasi walionao kuhusu hatima ya kiongozi wa upinzani Ebrahim Sharif baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kukosoa uhusiano wa utawala wa kifalme wa nchi hiyo na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Sheikh Issa Qassim: Kumtishia Ayatullah Khamenei ni kuuvunjia heshima Umma mzima wa Kiislamu

    Sheikh Issa Qassim: Kumtishia Ayatullah Khamenei ni kuuvunjia heshima Umma mzima wa Kiislamu

    Jul 03, 2025 04:27

    Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia wa nchini Bahrain amelaani vikali kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kumvunjia heshima na kumtishia Ayatullahil udhma Sayyid Ali Khamenei Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.

  • Ijumaa, tarehe 14 Februari, 2025

    Ijumaa, tarehe 14 Februari, 2025

    Feb 13, 2025 23:52

    Ijumaa tarehe 15 Shaaban 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Februari 2025.

  • Abbas Araghchi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono Cuba dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Abbas Araghchi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono Cuba dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Sep 22, 2024 03:50

    Abbas Araghchi, Waziri Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ikiwa mmoja wa wahanga wakuu wa vikwazo vya Marekani, inaelewa kikamilifu hali ya watu wa Cuba, hivyo inaiunga mkono nchi hiyo dhidi ya vikwazo vya nchi hiyo ya Magharibi.

  • Jumanne, Agosti 13, mwaka 2024

    Jumanne, Agosti 13, mwaka 2024

    Aug 12, 2024 23:03

    Leo ni Jumanne tarehe 8 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria sawa na tarehe 13 Agosti 2024.

  • Jumamosi, 11 Mei, 2024

    Jumamosi, 11 Mei, 2024

    May 11, 2024 00:39

    Leo ni Jumamosi tarehe Pili Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1445 Hijria mwafaka na tarehe 11 Mei 2024 Miladia.

  • Rais wa Syria: Mshikamano wa nchi za Kiarabu unapelekea kupatikana utulivu katika eneo

    Rais wa Syria: Mshikamano wa nchi za Kiarabu unapelekea kupatikana utulivu katika eneo

    Apr 28, 2024 23:36

    Rais wa Syria amesema kuwa kuwepo mshikamamo baina ya nchi za Kiarabu na kutekeleza hatua za pamoja kutapelekea kupatikana amani na uthabiti katika eneo.

  • 'Washauri wa kijeshi' wa Imarati, Bahrain wauawa na al-Shabaab Somalia

    'Washauri wa kijeshi' wa Imarati, Bahrain wauawa na al-Shabaab Somalia

    Feb 12, 2024 01:08

    Kwa akali wakufunzi watano wa kijeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Bahrain wameuawa katika shambulizi linaloaminika kufanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Sheikh Issa Qassim: Kushiriki Bahrain katika muungano wa baharini wa Marekani dhidi ya Yemen ni

    Sheikh Issa Qassim: Kushiriki Bahrain katika muungano wa baharini wa Marekani dhidi ya Yemen ni "aibu"

    Jan 15, 2024 10:19

    Sheikh Issa Qassim Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain ameitaja hatua ya Manama ya kushiriki katika muungano wa baharini unaoongozwa na Marekani katika Bahari ya Sham dhidi ya Yemen kuwa ni kitendo kibaya, chenye kutia uchungu na cha fedheha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS