Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

balozi

  • Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco

    Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco

    Sep 16, 2022 07:40

    Utawala haramu wa Israel umelazimika kumfuta kazi balozi wake wa nchini Morocco anayekabiliwa na kashfa za ngono na kuwanyanyasa kijinsia wanawake wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Mvutano mpya katika uhusiano wa Russia na Israel baada ya shambulizi dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus

    Mvutano mpya katika uhusiano wa Russia na Israel baada ya shambulizi dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus

    Jun 17, 2022 09:59

    Uhusiano kati ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel umeingia katika awamu mpya yenye mivutano baada ya mashambuizi ya Russia dhidi ya Ukraine kutokana na misimamo ya Tel Aviv ya kujiunga na nchi za Magharibi na kuchukua misimamo dhidi ya Russia.

  • Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Feb 25, 2022 03:18

    Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amekutana na mabalozi wa Russia na China nchini Iran ambapo wametangaza kwa pamoja kupinga kutumiwa vibaya kadhia ya haki za binadamu kama chombo cha kuyashinikiza mataifa mengine.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Shahid Irlu alikuwa mtumishi wa wananchi wanaodhulumiwa wa Yemen

    Brigedia Jenerali Qaani: Shahid Irlu alikuwa mtumishi wa wananchi wanaodhulumiwa wa Yemen

    Dec 21, 2021 11:54

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, shahid Hasan Irlu, balozi wa Iran nchini Yemen ambaye amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona, alikuwa mtumishi wa wananchi madhulumu na wanamuqawama wa Yemen.

  • Waziri Mkuu wa Lebanon asikitishwa na uamuzi wa Saudia kuhusiana na mabalozi wa nchi mbili

    Waziri Mkuu wa Lebanon asikitishwa na uamuzi wa Saudia kuhusiana na mabalozi wa nchi mbili

    Oct 30, 2021 07:45

    Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Mikati amesema, amesikitishwa na uamuzi wa Saudi Arabia wa kumpa muhula maalumu balozi wa Lebanon awe ameshaondoka nchini humo sambamba na kumwita nyumbani balozi wake wa mjini Beirut.

  • Kushadidi mivutano baina ya Marekani na Ufaransa, Paris yamwita nyumbani balozi wake mjini Washington

    Kushadidi mivutano baina ya Marekani na Ufaransa, Paris yamwita nyumbani balozi wake mjini Washington

    Sep 19, 2021 02:22

    Ufaransa imechukua uamuzi wa kumwita nyumbani balozi wake mjini Washington sambamba na kushadidi mivutano katika uhusiano wa serikali ya Paris na Marekani. Vilevile imechukua hatua ya kumrejesha nyumbani balozi wake nchini Australia kama hatua ya kuonesha malalamiko yake.

  • Balozi wa Marekani nchini Russia aitwa kurejea nyumbani

    Balozi wa Marekani nchini Russia aitwa kurejea nyumbani

    Apr 20, 2021 08:20

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kwamba imemtaka balozi wake aliyeko mjini Moscow Russia arejee nyumbani kwa mashauriano zaidi na viongozi wa Washington.

  • Radiamali ya kindumakuwili ya Ufaransa kufuatia malalamiko ya Waislamu duniani

    Radiamali ya kindumakuwili ya Ufaransa kufuatia malalamiko ya Waislamu duniani

    Oct 28, 2020 07:41

    Waislamu duniani kote wamekasirishwa na kushadidi vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa hasa cha kuchapishwa tena katuni zinazomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW. Hasira za Waislamu zimeongezeka maradufu baada ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kutetea vitendo hivyo vya chuki dhidi ya Uislamu kwa kisingizo cha uhuru wa maoni.

  • Balozi wa Umoja wa Ulaya atimuliwa nchini Benin kwa kuwachochea wapinzani

    Balozi wa Umoja wa Ulaya atimuliwa nchini Benin kwa kuwachochea wapinzani

    Nov 30, 2019 04:35

    Serikali ya Benin, imemtimua balozi wa Umoja wa Ulaya kwa tuhuma za kuhusika katika machafuko ya hivi karibuni na pia kwa kuwachochea wapinzani wa nchi hiyo.

  • Balozi wa Uingereza Washington ajiuzulu baada ya kushambuliana kwa maneno na Trump

    Balozi wa Uingereza Washington ajiuzulu baada ya kushambuliana kwa maneno na Trump

    Jul 11, 2019 04:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza imetangaza kuwa balozi wa London mjini Washington Kim Darroch, amejiuzulu kufuatia mzozo wa kushambuliana kwa maneno uliojiri baina yake na Rais Donald Trump wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS