-
HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu
Sep 18, 2017 09:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka vikwazo vikali vya kimataifa viwekewe Jeshi la Myanmar kutokana na kampeni yake ya kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Bangladesh: Kuanzishwe eneo salama jimbo la Rakhine ili kuwanusuru Waislamu wa Rohingya
Sep 09, 2017 22:03Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bangladesh ametaka kuanzishwa eneo salama katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar kwa ajili ya kuzuia hujuma dhidi ya wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya nchini humo.
-
Myanmar yatega mabomu ardhini katika mpaka na Bangladesh kuwazuia Waislamu kuondoka
Sep 06, 2017 03:27Inaarifiwa kuwa serikali ya Myanmar inatega mabomu ya ardhini katika mpaka wa nchi hiyo na Bangladesh ili kuwazuia Waislamu wa kabila la Rohingya kuondoka nchini humo.
-
Idadi ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbilia Bangladesh inazidi kuongezeka
Sep 04, 2017 22:06Kufuatia kuendelea operesheni za jeshi la serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine, idadi kubwa ya Waislamu wa eneo hilo wameendelea kukimbia ili kuokoa maisha yao.
-
Warohingya 17 waghariki katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh
Aug 31, 2017 09:10Kwa akali wakimbizi 17 Waislamu wa kabila la Rohingya wamekufa maji katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh wakikimbia jinai wanazofanyiwa na Mabudha wenye misimamo ya kuchupa mipaka na jeshi la Myanmar.
-
Waliouawa kwa maporomoko ya ardhi Bangladesh wapindukia 130
Jun 14, 2017 03:24Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na maporomoko ya ardhi nchini Bangladesh imepindukia watu 130.
-
Kimbunga kikali cha Mura, chaifanya hali ya wakimbizi wa Rohingya kuwa mabaya zaidi huko Bangladesh
Jun 01, 2017 23:38Kimbunga kikali kinachoitwa Mura, kimeifanya hali ya Waislamu wa Rohingya wanaoishi nchini Bangladesh kuwa mbaya sana.
-
Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti
May 28, 2017 06:45Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya sita ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.
-
Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria
Apr 13, 2017 23:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi za Magharibi zinazuia kufanyika uchunguzi wa kuweka wazi uhakika kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.
-
Makumi ya wahajiri haramu watiwa nguvuni Libya wakijaribu kuingia Ulaya
Mar 28, 2017 03:41Askari wa kikosi cha Gadi ya Pwani ya Libya wamewatia nguvuni wahajiri haramu 60 wenye uraia wa Bangladesh ambao walikuwa wanajaribu kuingia barani Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranean.