-
Warohingya 17 waghariki katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh
Aug 31, 2017 13:40Kwa akali wakimbizi 17 Waislamu wa kabila la Rohingya wamekufa maji katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh wakikimbia jinai wanazofanyiwa na Mabudha wenye misimamo ya kuchupa mipaka na jeshi la Myanmar.
-
Waliouawa kwa maporomoko ya ardhi Bangladesh wapindukia 130
Jun 14, 2017 07:54Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na maporomoko ya ardhi nchini Bangladesh imepindukia watu 130.
-
Kimbunga kikali cha Mura, chaifanya hali ya wakimbizi wa Rohingya kuwa mabaya zaidi huko Bangladesh
Jun 02, 2017 04:08Kimbunga kikali kinachoitwa Mura, kimeifanya hali ya Waislamu wa Rohingya wanaoishi nchini Bangladesh kuwa mbaya sana.
-
Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti
May 28, 2017 11:15Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya sita ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.
-
Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria
Apr 14, 2017 04:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi za Magharibi zinazuia kufanyika uchunguzi wa kuweka wazi uhakika kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.
-
Makumi ya wahajiri haramu watiwa nguvuni Libya wakijaribu kuingia Ulaya
Mar 28, 2017 08:11Askari wa kikosi cha Gadi ya Pwani ya Libya wamewatia nguvuni wahajiri haramu 60 wenye uraia wa Bangladesh ambao walikuwa wanajaribu kuingia barani Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranean.
-
Kupelekwa Waislamu wa Myanmar katika kisiwa cha Bangladesh
Feb 01, 2017 08:04Serikali ya Bangladesh imesisitiza kutekeleza mpango wa kuwapatia makazi wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingya katika kisiwa cha Tangarchar katika Ghuba ya Bengal.
-
Waislamu wa Myanmar waandamwa na mateso ya kila upande
Nov 20, 2016 15:35Waislamu wa kabila la Rohingya wa nchini Myanmar waliokuwa wanakimbilia nchini Bangladesh kwa ajili ya kuokoa maisha yao kutokana na mauaji wanayofanyiwa na askari wa serikali ya mabudha nchini mwao, sasa wanazuia na gadi ya nchi kavu Bangladesh wasiingie tena nchini humo.
-
Umoja wa Mataifa: Tanzania ni ya kupigiwa mfano "elimu kwa wote"
Sep 20, 2016 13:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amesema kuwa, utashi wa kisiasa, matumizi ya Pato la Taifa na matumizi ya fursa mbalimbali unaifanya Tanzania kuwa moja ya nchi ya kupigiwa mfano katika uboreshaji na upatikanaji wa elimu kwa wote.
-
Magaidi wa ISIS waua watu 22 mgahawani Bangladesh
Jul 02, 2016 13:44Magaidi wakufurishaji wa kundi la ISIS (Daesh) wameua watu wasiopungua 22 katika ufyatuaji risasi uliojiri Ijumaa usiku mgahawani katika mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka.