-
Ghadhabu ya Wapalestina kufuatia uchozezi wa Israel katika Quds Tukufu
May 30, 2017 07:47Wapalestina wameendelea kuonyesha ghadhabu zao kufuatia kitendo cha kichochezi cha utawala haramu wa Israel katika mji wa Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
-
Baitul Muqaddas, lengo la uvamizi na sera za kutaka kujitanua za Israel
Apr 26, 2017 12:50Wizara ya Makazi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imepasisha mpango wa ujenzi wa nyumba mpya za walowezi wa Kiyahudi katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu ya kaskazini magharibi mwa Quds tukufu licha ya upinzani mkubwa wa kimataifa.
-
Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu
Apr 13, 2017 07:57Tukio la kubadilishwa kibla cha Waislamu kutoka Baitul Muqaddas na kuelekea Masjidul Haram linahesabiwa kuwa miongoni mwa matukio makubwa na yenye taathira kubwa sana katika historia ya Uislamu ambalo pia lilikuwa na athari nyingi za kustaajabisha.
-
Alkhamisi, 13 Aprili, 2017
Apr 13, 2017 03:20Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rajab 1438 Hijria, sawa na Aprili 13, 2017.
-
Ijumaa, Machi 17, 2017
Mar 17, 2017 02:33Leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Tisa Jamadithani 1438 Hijria sawa na 17 Machi, 2017 Milaadia.
-
Pakistan yapinga kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Quds
Jan 19, 2017 14:25Mwakilishi wa Kudumu wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga hatua yoyote ya uhamishaji wa ubalozi wa Marekani kutoka Tel-Aviv, Israel kwenda Baytul-Muqaddas na kwamba, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Sheikh Sabri: Kuuhamishia ubalozi wa Marekani Quds ni kutangaza vita na Wapalestina
Dec 17, 2016 04:24Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, Palestina inayokaliwa kwa mabavu amesema, kuhamishiwa Baitul Muqaddas ubalozi wa Marekani ulioko Tel Aviv na kuitambua rasmi Quds kuwa mji mkuu wa utawala bandia wa Israel ni sawa na kutangaza vita na Wapalestina.
-
Mufti wa Baitul Muqaddas: Kuzuru msikiti wa Al-Aqsa kumekuwa "wajibu" kwa Waislamu na Waarabu
Nov 29, 2016 03:36Mufti wa Baitul Muqaddas Sheikh Muhammad Hussein ametaka zichukuliwe hatua zaidi na Umma wa Kiislamu na Kiarabu za kuuhami msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.
-
Radiamali ya Iran kuhusu kupigwa marufuku adhana misikitini huko Quds
Nov 17, 2016 04:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezitolea wito jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kufanya juhudi ili kuzuia kubadilishwa utambulisho wa Kiislamu wa Baitul Muqaddas.
-
Trump atahadharishwa na hatua ya kuuhamishia ubalozi wa Marekani Baitul Muqaddas
Nov 13, 2016 16:41Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amemtahadharisha rais mteule wa Marekani Donald Trump na kutekeleza ahadi aliyotoa ya kuuhamishia katika mji mtukufu wa Baitul Muqaddas ubalozi wa nchi hiyo ulioko Tel Aviv, Israel.