Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baytul Muqaddas

  • Ghadhabu ya Wapalestina kufuatia uchozezi wa Israel katika Quds Tukufu

    Ghadhabu ya Wapalestina kufuatia uchozezi wa Israel katika Quds Tukufu

    May 30, 2017 07:47

    Wapalestina wameendelea kuonyesha ghadhabu zao kufuatia kitendo cha kichochezi cha utawala haramu wa Israel katika mji wa Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.

  • Baitul Muqaddas, lengo la uvamizi na sera za kutaka kujitanua za Israel

    Baitul Muqaddas, lengo la uvamizi na sera za kutaka kujitanua za Israel

    Apr 26, 2017 12:50

    Wizara ya Makazi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imepasisha mpango wa ujenzi wa nyumba mpya za walowezi wa Kiyahudi katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu ya kaskazini magharibi mwa Quds tukufu licha ya upinzani mkubwa wa kimataifa.

  • Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu

    Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu

    Apr 13, 2017 07:57

    Tukio la kubadilishwa kibla cha Waislamu kutoka Baitul Muqaddas na kuelekea Masjidul Haram linahesabiwa kuwa miongoni mwa matukio makubwa na yenye taathira kubwa sana katika historia ya Uislamu ambalo pia lilikuwa na athari nyingi za kustaajabisha.

  • Alkhamisi, 13 Aprili, 2017

    Alkhamisi, 13 Aprili, 2017

    Apr 13, 2017 03:20

    Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rajab 1438 Hijria, sawa na Aprili 13, 2017.

  • Ijumaa, Machi 17, 2017

    Ijumaa, Machi 17, 2017

    Mar 17, 2017 02:33

    Leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Tisa Jamadithani 1438 Hijria sawa na 17 Machi, 2017 Milaadia.

  • Pakistan yapinga kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Quds

    Pakistan yapinga kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Quds

    Jan 19, 2017 14:25

    Mwakilishi wa Kudumu wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga hatua yoyote ya uhamishaji wa ubalozi wa Marekani kutoka Tel-Aviv, Israel kwenda Baytul-Muqaddas na kwamba, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Sheikh Sabri: Kuuhamishia ubalozi wa Marekani Quds ni kutangaza vita na Wapalestina

    Sheikh Sabri: Kuuhamishia ubalozi wa Marekani Quds ni kutangaza vita na Wapalestina

    Dec 17, 2016 04:24

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, Palestina inayokaliwa kwa mabavu amesema, kuhamishiwa Baitul Muqaddas ubalozi wa Marekani ulioko Tel Aviv na kuitambua rasmi Quds kuwa mji mkuu wa utawala bandia wa Israel ni sawa na kutangaza vita na Wapalestina.

  • Mufti wa Baitul Muqaddas: Kuzuru msikiti wa Al-Aqsa kumekuwa

    Mufti wa Baitul Muqaddas: Kuzuru msikiti wa Al-Aqsa kumekuwa "wajibu" kwa Waislamu na Waarabu

    Nov 29, 2016 03:36

    Mufti wa Baitul Muqaddas Sheikh Muhammad Hussein ametaka zichukuliwe hatua zaidi na Umma wa Kiislamu na Kiarabu za kuuhami msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.

  • Radiamali ya Iran kuhusu kupigwa marufuku adhana misikitini huko Quds

    Radiamali ya Iran kuhusu kupigwa marufuku adhana misikitini huko Quds

    Nov 17, 2016 04:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezitolea wito jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kufanya juhudi ili kuzuia kubadilishwa utambulisho wa Kiislamu wa Baitul Muqaddas.

  • Trump atahadharishwa na hatua ya kuuhamishia ubalozi wa Marekani Baitul Muqaddas

    Trump atahadharishwa na hatua ya kuuhamishia ubalozi wa Marekani Baitul Muqaddas

    Nov 13, 2016 16:41

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amemtahadharisha rais mteule wa Marekani Donald Trump na kutekeleza ahadi aliyotoa ya kuuhamishia katika mji mtukufu wa Baitul Muqaddas ubalozi wa nchi hiyo ulioko Tel Aviv, Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS