-
Amnesty: Watoto wanaoshukiwa kuwa Boko Haram wanakufia kizuizini Nigeria
May 11, 2016 02:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema makumi ya watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la Boko Haram wakiwemo watoto wadogo wameaga dunia wakiwa kizuizini katika korokoro ya kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria mwaka huu pekee.
-
Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kabambe dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram katika msitu wa Sambisa
May 02, 2016 03:24Jeshi la Nigeria limeanzisha operesheni kubwa dhidi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika msitu wa Sambisa.
-
Nigeria yasisitiza kutekeleza operesheni imara za kijasusi dhidi ya Boko Haram
May 01, 2016 03:08Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Nigeria amesisitiza juu ya udharura wa kutekeleza operesheni imara za kijasusi dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Nchi zinazopambana na Boko Haram zakosolewa kwa kushindwa kulitokomeza kundi hilo
Apr 30, 2016 23:51Nchi kadhaa za magharibi mwa Afrika zilizoanzisha muungano wa kijeshi wa kupambana na Boko Haram zinakosolewa kutokana na kushindwa kulitokomeza kundi hilo la kigaidi.
-
Wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi Afrika
Apr 28, 2016 10:44Mkuu wa kikosi cha Kiafrika cha kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram amezitaka nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi hilo kuzidisha azma ya kukabiliana na ugaidi.
-
Nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi la Boko Haram zatakiwa kutekeleza ahadi zao
Apr 27, 2016 09:53Mkuu wa vikosi vya Kiafrika vya kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram amezitaka nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya wanamgambo hao kufungamana na ahadi zao.
-
Jeshi la Nigeria lawaua wapiganaji 10 wa kundi la Boko Haram katika jimbo la Borno
Apr 25, 2016 02:33Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limewauwa wanachama wasiopungua 10 wa kundi la kigaidi la Boko Haram mashariki mwa jimbo la Borno lililoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Wanachama 10 wa Boko Haram wauawa Nigeria
Apr 23, 2016 03:40Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeua wanachama 10 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni iliyofanyika kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wasichana waliotekwa na Boko Haram, kisingizio cha propaganda za Marekani
Apr 22, 2016 23:49Mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kufuatiliwa hatima ya wasichana waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram nchini Nigeria.
-
Miaka miwili yapita tangu Boko Haram kuteka wasichana Chibok
Apr 15, 2016 03:30Ni miaka miwili sasa tangu magaidi wakufurishaji wa Boko Haram walipowateka nyara wasichana wa shule ya serikali katika mji wa Chibok, kaskazini mashariki mwa Nigeria.