Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Boko Haram wanatumia watoto katika hujuma za kigaidi

    Boko Haram wanatumia watoto katika hujuma za kigaidi

    Apr 12, 2016 16:26

    Kundi la magaidi wakufurishaji wa Boko Haram nchini Nigeria wanazidi kuwatumia watoto wadogo kusheheni bomu na kujiripua katika hujuma za kigaidi.

  • Boko Haram 300 wauawa, raia 2000 wakombolewa

    Boko Haram 300 wauawa, raia 2000 wakombolewa

    Apr 06, 2016 02:54

    Muungano wa kijeshi unaopambana na wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram umetangaza kuwa, wapiganaji 300 wa kundi hilo wameangamizwa na karibu raia 2000 wasio na hatia wamekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi hao.

  • Naibu kinara wa Boko Haram akamatwa

    Naibu kinara wa Boko Haram akamatwa

    Apr 03, 2016 13:42

    Naibu kinara wa kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria amekamatwa katika oparesheni ya vikosi vya usalama nchini humo.

  • Askari wa UN walitumia mbwa kuwanyanyasa kingono watoto CAR

    Askari wa UN walitumia mbwa kuwanyanyasa kingono watoto CAR

    Mar 31, 2016 08:58

    Maafisa wa Umoja wa Mataifa wametangaza kuwa, wameanzisha uchunguzi kuhusiana na unyanyasaji unaofanywa na wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • HRW: Boko Haram iliteka mamia ya wanawake na watoto huko Damasak

    HRW: Boko Haram iliteka mamia ya wanawake na watoto huko Damasak

    Mar 31, 2016 08:11

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetoa ripoti inayoonesha kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram liliwateka mamia ya wanawake na watoto katika mji wa Damasak kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Makumi ya magaidi wa Boko Haram wauawa Nigeria

    Makumi ya magaidi wa Boko Haram wauawa Nigeria

    Mar 29, 2016 04:22

    Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa nchini Nigeria.

  • Boko Haram imeua watu 20,000 Nigeria, hasara ya $5.9bn Borno

    Boko Haram imeua watu 20,000 Nigeria, hasara ya $5.9bn Borno

    Mar 22, 2016 07:25

    Benki ya Dunia imesema magaidi wa Boko Haram nchini Nigeria hadi sasa wameua watu 20 elfu na kusababisha hasara ya dola bilioni 5.9 katika jimbo la Borno.

  • Magaidi 27 wa kundi la Boko Haram waangamizwa Nigeria

    Magaidi 27 wa kundi la Boko Haram waangamizwa Nigeria

    Mar 22, 2016 03:37

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa magaidi wasiopungua 27 wa kundi la kigaidi na kitakfiri wa Boko wameangamizwa katika mashambulio kadhaa yaliyofanywa na jeshi hilo katika mkoa wa Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Cameroon laangamiza Boko Haram 20 nchini Nigeria

    Jeshi la Cameroon laangamiza Boko Haram 20 nchini Nigeria

    Mar 17, 2016 14:03

    Wanajeshi wa Cameroon wametangaza kuangamiza wanachama 20 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika operesheni iliyofanyika huko kaskazini mwa Nigeria.

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi nchini Nigeria

    Iran yalaani shambulio la kigaidi nchini Nigeria

    Mar 17, 2016 13:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililofanywa katika msikiti mmoja huko Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS