Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Jeshi la Cameroon laangamiza Boko Haram 20 nchini Nigeria

    Jeshi la Cameroon laangamiza Boko Haram 20 nchini Nigeria

    Mar 17, 2016 10:33

    Wanajeshi wa Cameroon wametangaza kuangamiza wanachama 20 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika operesheni iliyofanyika huko kaskazini mwa Nigeria.

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi nchini Nigeria

    Iran yalaani shambulio la kigaidi nchini Nigeria

    Mar 17, 2016 10:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililofanywa katika msikiti mmoja huko Nigeria.

  • Benin yatangaza kuwa tayari kuchangia kikosi cha kupambana na kundi la Boko Haram

    Benin yatangaza kuwa tayari kuchangia kikosi cha kupambana na kundi la Boko Haram

    Mar 16, 2016 22:15

    Nchi ya Kiafrika ya Benin imetangaza utayarifu wake wa kutuma kikosi kitakachoungana na majeshi yanayopambana na kundi la Boko Haram la Nigeria.

  • Afrika Kusini yakanusha kutumba jeshi Nigeria kupambana na Boko Haram

    Afrika Kusini yakanusha kutumba jeshi Nigeria kupambana na Boko Haram

    Mar 09, 2016 23:12

    Jeshi la Afrika Kusini limekanusha habari kuwa litatatuma askari nchini Nigeria kupambana na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.

  • Jeshi la Nigeria laendelea na oparesheni ya kuwaangamiza Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laendelea na oparesheni ya kuwaangamiza Boko Haram

    Mar 07, 2016 12:48

    Jeshi la Nigeria limesema kuwa linaendelea na oparesheni ya kuwaangamiza wanamgambo wa Boko Haram katika maficho yao.

  • Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa Nigeria

    Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa Nigeria

    Feb 28, 2016 04:30

    Operesheni ya pamoja ya majeshi ya Nigeria na Cameroon imefanikiwa kuangamiza wanachama 100 wa kundi la kigaidi na kitafkiri la Boko Haram , kaskazini mashariki wa Nigeria.

  • Kuanza oparesheni ya kuwaaangamiza wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kuanza oparesheni ya kuwaaangamiza wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Feb 27, 2016 09:32

    Jeshi la Nigeria limesema kuwa tayari limeanza oparesheni ya kuwaangamiza wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika majimbo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kali dhidi ya Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kali dhidi ya Boko Haram

    Feb 26, 2016 04:18

    Jeshi la Nigeria limeanzisha operesheni kali dhidi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram, ambayo ina lengo la kuwasambaratisha wanachama wa kundi hilo.

  • Boko Haram yasababisha maelfu ya watoto wa Nigeria kuwa wakimbizi

    Boko Haram yasababisha maelfu ya watoto wa Nigeria kuwa wakimbizi

    Feb 23, 2016 04:51

    Zaidi ya watoto 6,500 wako katika hatari ya kupoteza maisha yao kutokana na baa la njaa linalowakabili, katika kambi za wakimbizi wa ndani nchini Nigeria.

  • Waislamu na Wakristo wa Cameroon kulinda misikiti na makanisa dhidi ya mashambulio ya Boko Haram

    Waislamu na Wakristo wa Cameroon kulinda misikiti na makanisa dhidi ya mashambulio ya Boko Haram

    Feb 23, 2016 00:09

    Waislamu na Wakristo wa Cameroon wanaandaa mikakati ya kupambana na kundi la Boko Haram la nchini Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS