-
Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117
Feb 18, 2022 08:10Zaidi ya watu 117 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini Brazil.
-
Alkhamisi tarehe 25 Novemba 2021
Nov 24, 2021 22:57Leo ni Alkhamisi tarehe 19 Rabiuthani 1443 Hijria sawa na Novemba 25 mwaka 2021.
-
Jumanne tarehe 7 Septemba 2021
Sep 06, 2021 20:50Leo ni Jumanne tarehe 29 Muharram 1443 Hijria sawa na Septemba 7 mwaka 2021.
-
'Vifo vya corona nchini Brazil ni maafa makubwa kama ya bomu la nyuklia'
Apr 08, 2021 03:02Baada ya kuongezeka kupindukia idadi ya watu wanaofariki dunia kila siku kwa COVID-19 nchini Brazil, wataalamu wa afya wa nchi hiyo wamelifananisha janga hilo na maafa ya bomu la nyuklia na wanasema kuwa Brazil sasa hivi imekumbwa na balaa la "Fukushima za Biolojia."
-
Brazil yaweka rekodi mpya ya vifo vya Corona, zaidi ya 4,000 waaga dunia
Apr 07, 2021 03:05Kwa mara ya kwanza tangu janga la Corona liikabili dunia mapema mwaka jana, zaidi ya watu 4,000 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Covid-19 nchini Brazil katika kipindi cha siku moja.
-
Jumatatu tarehe 7 Septemba 2020
Sep 08, 2020 22:42Leo ni Jumatatu tarehe 18 Muharram 1442 Hijria sawa na Septemba 7 mwaka 2020.
-
Watu karibu milioni moja wameambukizwa corona nchini Brazil
Jun 18, 2020 06:38Idadi ya watu waliopatwa na virusi vya corona nchini Brazil imefika milioni moja.
-
Corona: Tanzania iko salama; wananchi watakiwa kuchukua tahadhari zaidi
Mar 16, 2020 04:38Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa, tayari imechukua hatua kadhaa za tahadhari ili kukabiliana na maambukizi ya Virusi vya Corona na kwamba kwa sasa nchi iko salama.
-
Trump akataa kupimwa Corona baada ya kukutana na afisa wa Brazil aliyepatikana na virusi hivyo
Mar 13, 2020 04:30Rais Donald Trump wa Marekani anashukiwa kuambukizwa ugonjwa wa COVID-19 maaarufu kama Corona baada ya kukutana na afisa ambaye amepatikana na ugonjwa huo.
-
Arab League yailaani Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara Quds tukufu
Dec 20, 2019 08:12Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeikosoa vikali Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara katika mji wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.