-
Bunge la Tunisia lapasisha serikali mpya ya nchi hiyo
Feb 27, 2020 11:09Hatimaye na baada ya vuta nikuvute na malumbano makubwa ya kisiasa, Bunge la Tunisia limepasisha serikali mpya ya nchi hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu, Elyes Fakhfakh kwa kura 129 za diyo mkabala wa kura 77 za upinzani. Serikali mpya ya Tunisia imepasishwa baada ya mjadala mkali ulioendelea kwa muda wa masa 14.
-
Mbunge wa Iraq: Maandamano ya Ijumaa ni kura ya maoni ya kuondoa askari wa Marekani
Jan 23, 2020 11:50Mbunge wa Muungano wa Al Fath katika Bunge la Iraq amesema maandamano ya kesho Ijumaa nchini Iraq ni sawa na kura ya maoni ya wananchi wanaopinga kuwepo wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo.
-
Kamati ya usalama Iraq: Marekani haijawa na nafasi yoyote ya kuimarisha usalama nchini
Jan 17, 2020 02:52Mjumbe mwandamizi wa kamati ya usalama na ulinzi ya bunge la Iraq amesema kuwa askari vamizi wa Marekani hawajawahi kuwa na nafasi yoyote ya kuimarisha usalama na amani nchini humo.
-
Bunge la Iraq lapitisha mpango wa kuwatimua askari wa jeshi la Marekani walioko nchini humo + Video
Jan 05, 2020 16:18Bunge la Iraq limepiga kura na kupitisha mpango uliopendekezwa na wabunge wa kuhitimisha makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Marekani na kuwataka wanajeshi wa Marekani waondoke nchini humo.
-
Watu zaidi ya 300 kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel
Dec 04, 2019 03:01Watu 333 watatoa ushahidi dhidi ya Benjamin Netanyahu Kwa mujibu wa mashtaka yaliyowasilishwa kwa bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) kuhusu mafaili ya ufisadi yanayomkabili Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni.
-
Bunge la Iraq laafiki kujiuzulu Waziri Mkuu Adil Abdul-Mahdi
Dec 01, 2019 13:38Bunge la Iraq lililokutana kwa kikao cha dharura kilichofanyika leo limeukubali uamuzi uliochukuliwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Adil Abdul-Mahdi wa kujiuzulu wadhifa wake huo.
-
Kubakia Uingereza katika njia panda ya Brexit
Oct 23, 2019 02:43Mvutano kuhusu kujiondoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya mpango unaojulikana kama Brexit umegeuka na kuwa mjadala mkubwa na wa kila upande baina ya Bunge na serikali ya nchi hiyo.
-
Chama cha Kiislamu chaongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa Bunge Tunisia
Oct 07, 2019 07:50Matokeo ya awali na yasiyo rasmi ya uchaguzi wa Bunge la Tunisia yanaonesha kuwa chama cha Kiislamu cha al Nahdha kinachoongozwa na Rached Ghannouchi kinaongoza kwa wingi wa viti ikilinganishwa na vyama vingine.
-
Spika wa Bunge Misri amfananisha Rais wa nchi hiyo na Adolf Hitler
Oct 03, 2019 07:57Spika wa Bunge la Misri amemfananisha Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo na dikteta wa zamani wa Ujerumani Adolf Hitler.
-
Mahakama ya Juu Kabisa ya Uingereza yabatilisha uamuzi wa Johnson wa kusimamisha Bunge
Sep 24, 2019 13:42Mahakama ya Juu Kabisa ya Uingereza imebatilisha uamuzi uliochukuliwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Boris Johnson wa kusimamisha vikao vya Bunge na kusisitiza kuwa hatua hiyo imechukuliwa "kinyume cha sheria, ni batili na haina athari yoyote".