Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burkina Faso

  • Wanajeshi, raia 28 wauawa katika hujuma za kigaidi Burkina Faso

    Wanajeshi, raia 28 wauawa katika hujuma za kigaidi Burkina Faso

    Jan 31, 2023 03:37

    Kwa akali watu 28 wakiwemo wanajeshi na raia wameuwa katika mashambulizi mawili ya kigaidi kaskazini mwa Burkina Faso.

  • Ufaransa yatakiwa iondoe jeshi lake Burkina Faso haraka iwezekavyo

    Ufaransa yatakiwa iondoe jeshi lake Burkina Faso haraka iwezekavyo

    Jan 22, 2023 04:27

    Serikali ya kijeshi inayotawala Burkina Faso imeitaka Ufaransa iwaondoe wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi katika kipindi kifupi kijacho.

  • Wananchi wa Burkina Faso waandamana dhidi ya Ufaransa

    Wananchi wa Burkina Faso waandamana dhidi ya Ufaransa

    Jan 21, 2023 06:48

    Mamia ya wananchi wa Burkina Faso wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu Ouagadougou kushiriki maandamano dhidi ya Ufaransa, hatua inayoonesha jinsi ushawishi wa Paris katika nchi za bara la Afrika unavyoendelea kupungua.

  • Burkina Faso yaamuru kuondoka nchini humo mratibu wa UN; yasema haimkubali

    Burkina Faso yaamuru kuondoka nchini humo mratibu wa UN; yasema haimkubali

    Dec 24, 2022 23:49

    Burkina Faso imeamuru kuondoka nchini humo Mratibu wa Umoja wa Mataifa na kutangaza kuwa haimkubali mwanadiplomasia huyo.

  • Burkina Faso yasimamisha matangazo ya redio ya RFI ya Ufaransa

    Burkina Faso yasimamisha matangazo ya redio ya RFI ya Ufaransa

    Dec 04, 2022 03:42

    Serikali ya Burkina Faso imesimamisha nchini humo matangazo ya Redio ya Kifaransa ya RFI inayofadhiliwa na serikali ya Paris, kwa madai ya kutangaza habari za uwongo na upotoshaji.

  • Askari 10, magaidi 18 wauawa katika makabiliano Burkina Faso

    Askari 10, magaidi 18 wauawa katika makabiliano Burkina Faso

    Oct 25, 2022 07:21

    Wanajeshi wasiopungua 10 wa Burkina Faso wameuawa huku wengine zaidi ya 50 wakijeruhiwa, baada ya kundi moja la kigaidi kuvamia kambi ya jeshi katika eneo la Sahel nchini humo.

  • AU yalaani mapinduzi ya kijeshi Burkina Faso, Ufaransa yatuhumiwa kuhusika

    AU yalaani mapinduzi ya kijeshi Burkina Faso, Ufaransa yatuhumiwa kuhusika

    Oct 02, 2022 04:32

    Umoja wa Afrika (AU) umelaani hatua ya 'wanajeshi waasi' kutwaa mamlaka ya nchi kinyume cha katiba huko Burkina Faso, katika hali ambayo nchi hiyo ilikuwa katika mkondo wa kurejesha utawala wa kiraia.

  • Askari 11 wauawa, raia 50 watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Burkina Faso

    Askari 11 wauawa, raia 50 watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Burkina Faso

    Sep 28, 2022 00:08

    Wanajeshi wasiopungua 11 wa Burkina Faso wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulio linaloaminika kuwa la kigaidi kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Burkina Faso lakiri kuua raia katika shambulio dhidi ya 'magaidi'

    Jeshi la Burkina Faso lakiri kuua raia katika shambulio dhidi ya 'magaidi'

    Aug 03, 2022 21:54

    Jeshi la Burkina Faso limekiri kuwa liliua raia 'kimakosa' katika operesheni ya kupambana na magenge ya kigaidi kusini mashariki mwa nchi.

  • Kiongozi wa wanajeshi wafanya mapinduzi Burkina Faso akutana na rais aliyepinduliwa

    Kiongozi wa wanajeshi wafanya mapinduzi Burkina Faso akutana na rais aliyepinduliwa

    Jun 22, 2022 07:18

    Kiongozi wa wanajeshi waliofanya mapinduzi nchini Burkina Faso amekutana na rais aliyeondolewa madarakani katika mapinduzi yaliyofanyika mapema mwaka huu. Kiongozi wa mapinduzui ya kijeshi ya Burkina Faso amekutana na Roch Marc Christian Kabore katika juhudi za kujaribu kutuliza hali ya kisiasa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS