-
Duru mpya ya mazungumzo ya Burundi kuanza leo Arusha, Tanzania
Nov 26, 2017 23:32Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi inaanza leo Jumatatu huko Arusha, kaskazini mwa Tanzania, na itaendelea hadi Disemba 8.
-
Umoja wa Mataifa waikosoa Burundi kwa kutishia maafisa wake
Nov 21, 2017 23:35Ofisi ya masuala ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imeikosoa vikali serikali ya Burundi kwa kuwatishia wataalamu wa uchunguzi wa umoja huo.
-
Kutolewa kibali kwa ajili ya kufanyika uchunguzi kuhusu machafuko nchini Burundi
Nov 12, 2017 01:03Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetoa kibali cha kuruhusu kufanywa uchunguzi kuhusu machafuko na uwezekano wa kutendwa jinai dHidi ya binadamu huko Burundi huku serikali ya nchi hiyo ikipinga uamuzi huo na kusisitiza kuwa Burundi kamwe haitashirikiana na mahakama hiyo.
-
Magufuli na Museveni walaani uamuzi wa ICC kuhusu Burundi
Nov 11, 2017 12:24Marais wa Tanzania na Uganda wamelaani uamuzi ulitolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), ambayo imemuagiza Mwendesha Mashtaka wake, Fatou Bensouda kuanzisha uchunguzi wa vitendo vya kihalifu dhidi ya binadamu vilivyotokea nchini Burundi.
-
Burundi yakataa mpango wa ICC wa kuchunguza jinai za kivita nchini humo
Nov 10, 2017 11:12Serikali ya Burundi imekataa mpango wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kutaka kuanzishwa uchunguzi wa jinai za kivita na ukatili uliofanyika nchini humo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
ICC kuchunguza jinai zilizofanyika nchini Burundi
Nov 10, 2017 01:24Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetoa kibali cha kuanzishwa uchunguzi wa jinai na ukatili uliofanyika nchini Burundi licha ya nchi hiyo kujiondoa katika mkataba uliounda mahakama hiyo mwezi uliopita.
-
Burundi yachukua hatua ya kurefusha kipindi cha urais wa Nkurunziza
Oct 28, 2017 12:11Baraza la mawaziri la Burundi limeunga mkono mabadiliko ya katiba ambayo yatamruhusu rais wa sasa wa nchi hiyo kubakia madarakani hadi mwaka 2034, suala ambalo limeitumbukiza zaidi nchi hiyo katika mgogoro wa kisiasa.
-
DRC yafunga radio iliyokosoa mauaji ya wakimbizi wa Burundi
Sep 30, 2017 04:43Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesimamisha matangazo ya radio moja inayomilikiwa na Chama cha Wafanyabiashara wa Burundi, kwa kukosoa mauaji ya wakimbizi Warundi waliouawa hivi karibuni na wanajeshi wa DRC.
-
UN yaafiki kuendelea na uchunguzi wake kuhusu Burundi
Sep 29, 2017 10:50Tume ya haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa leo Ijumaa imepitisha azimio jipya kuhusu nchi ya Burundi baada ya uchunguzi uliobaini kuwa mauaji, utesaji na ukamataji wa raia umekuwa ukiendelea nchini humo.
-
Serikali ya Kongo DR yaanza uchunguzi kuhusu mauaji ya wakimbizi wa Burundi
Sep 18, 2017 09:39Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa imeanza kuchunguza mauaji ya makumi ya wakimbizi wa Burundi waliouliwa nchini humo.