Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • UN yalalamikia utendaji wa serikali ya Burundi kuhusu haki za binadamu

    UN yalalamikia utendaji wa serikali ya Burundi kuhusu haki za binadamu

    Mar 15, 2017 13:03

    Umoja wa Mataifa umeilalamikia serikali ya Burundi kwa kutoshirikiana na umoja huo katika kuchunguza suala la haki za binadamu nchini humo.

  • Malaria yaua watu 700 ndani ya miezi miwili nchini Burundi

    Malaria yaua watu 700 ndani ya miezi miwili nchini Burundi

    Mar 15, 2017 03:52

    Serikali ya Burundi imetangaza kuwa watu 700 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa malaria katika kipindi cha miezi miwili iliyopita nchini humo.

  • UN: Mgogoro wa kisiasa na hali ya kibinadamu Burundi vinatia wasi wasi

    UN: Mgogoro wa kisiasa na hali ya kibinadamu Burundi vinatia wasi wasi

    Mar 10, 2017 23:05

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu na mgogoro wa kisiasa nchini Burundi na kutadharisha kuwa mambo yanazidi kuwa mabaya katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • SADC: Burundi imalize mgogoro wa kisiasa ili ipewe uanachama

    SADC: Burundi imalize mgogoro wa kisiasa ili ipewe uanachama

    Feb 28, 2017 03:51

    Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC imeitaka Burundi kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili kwa sasa, iwapo inataka kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo ya kikanda.

  • Asasi ya kiraia Burundi: Tuna wasi wasi wa hatma ya watu waliotoweka

    Asasi ya kiraia Burundi: Tuna wasi wasi wa hatma ya watu waliotoweka

    Feb 25, 2017 10:48

    Asasi za kiraia nchini Burundi zimeonyesha wasi wasi wao juu ya hatma ya watu waliotoweka katika kipindi cha mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • SAUTI, Waswahili wa Burundi: Tumenyanyaswa kwa zaidi ya miaka 100, Burundi imegeuka na kuwa mali ya Watutsi na Wahutu pekee

    SAUTI, Waswahili wa Burundi: Tumenyanyaswa kwa zaidi ya miaka 100, Burundi imegeuka na kuwa mali ya Watutsi na Wahutu pekee

    Feb 21, 2017 15:13

    Jamii ya Waswahili nchini Burundi inailalamikia serikali ya nchi hiyo kwamba, imekuwa ikiwatenga kwa zaidi ya miaka 100 sasa kuweza kushiriki katika masuala ya kimaendeleo, kisiasa na kijamii.

  • Ombi la Burundi kwa serikali ya Tanzania la kuwakamata wapinzani wake

    Ombi la Burundi kwa serikali ya Tanzania la kuwakamata wapinzani wake

    Feb 19, 2017 23:20

    Katika hali ambayo juhudi za kuondokana na mgogoro wa kisiasa nchini Burundi bado zinaendelea, serikali ya Bujumbura imeiomba Tanzania kuwatia mbaroni wapinzani wake ambao wanaosakwa na mahakama za nchi hiyo, ambao kwa hivi sasa wako kaskazini mwa Tanzania.

  • Burundi yaitaka serikali ya Tanzania iwatie mbaroni wapinzani

    Burundi yaitaka serikali ya Tanzania iwatie mbaroni wapinzani

    Feb 18, 2017 23:12

    Serikali ya Burundi imeitaka Tanzania iwatie mbaroni wapinzani hao ambao wanashiriki kikao cha mazungumzo ya amani huko kaskazini mwa Tanzania huku wakiwa wanatafutwa na mahakama ya nchi hiyo kwa kuhusika na mapinduzi yaliyofeli.

  • Waswahili wa Burundi walalamikia kutengwa katika mazungumzo ya amani ya Arusha

    Waswahili wa Burundi walalamikia kutengwa katika mazungumzo ya amani ya Arusha

    Feb 18, 2017 12:52

    Wakati mazungumzo ya kusaka amani nchini Burundi yakifikia tamati Jumamosi ya leo mjini Arusha, kaskazini mwa Tanzania, makundi mbalimbali ya kijamii kutoka Burundi yametoa wito wa kutaka kushirikishwa katika mchakato huo wa kuupatia ufumbuzi mgogoro huo wa kisiasa.

  • Serikali ya Burundi kutoshiriki mazungumzo ya amani, Tanzania

    Serikali ya Burundi kutoshiriki mazungumzo ya amani, Tanzania

    Feb 16, 2017 04:30

    Serikali ya Burundi imesema haitoshiriki katika mazungumzo ya kujaribu kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo yanayotazamiwa kuanza hii leo nchini Tanzania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS