Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Umoja wa Mataifa: Watetezi wa haki za binadamu wanakandamizwa nchini Burundi

    Umoja wa Mataifa: Watetezi wa haki za binadamu wanakandamizwa nchini Burundi

    Feb 09, 2017 00:58

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na vitendo vya ukandamizaji dhidi ya watetezi wa haki za binadamu huko nchini Burundi.

  • UN Yaikosoa Burundi kwa kupiga marufuku asasi za kiraia

    UN Yaikosoa Burundi kwa kupiga marufuku asasi za kiraia

    Feb 07, 2017 00:51

    Jopo la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani marufuku na kusimamishwa kwa muda kwa asasi za kiraia, iliyotolewa hivi karibuni na serikali ya Burundi.

  • Kuongezeka mivutano kati ya Umoja wa Ulaya na Burundi

    Kuongezeka mivutano kati ya Umoja wa Ulaya na Burundi

    Jan 28, 2017 09:04

    Hali ya mvutano kati ya Burundi na Umoja wa Ulaya ingali inaendelea na sasa serikali ya Bujumbura imeutuhumu umoja huo kuwa unakiuka mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo.

  • Burundi: Bunge la EU linaongozwa na chuki na limekiuka haki yetu ya kujitawala

    Burundi: Bunge la EU linaongozwa na chuki na limekiuka haki yetu ya kujitawala

    Jan 27, 2017 10:37

    Serikali ya Burundi imesema kuwa, bunge la Umoja wa Ulaya limekiuka haki ya kujitawala taifa hilo.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu njaa na ukame nchini Burundi

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu njaa na ukame nchini Burundi

    Jan 26, 2017 00:11

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu ukame na njaa inayotishia nchi ya Kiafrika ya Burundi.

  • Kuweko maridhiano ya kitaifa Burundi; lengo la mkutano wa wapinzani nchini Ubegiji

    Kuweko maridhiano ya kitaifa Burundi; lengo la mkutano wa wapinzani nchini Ubegiji

    Jan 24, 2017 23:27

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Burundi, wapinzani wa serikali ya Bujumbura wamefanya kikao nchini Ubegiji kilichokuwa na lengo la kuandaa mikakati ya pamoja dhidi ya serikali ya Bujumbura.

  • SAUTI: Polisi ya Rwanda yawashikilia Warundi 12 katika magendo ya binaadamu wakati wakienda nchi za Asia kufanya kazi za ndani

    SAUTI: Polisi ya Rwanda yawashikilia Warundi 12 katika magendo ya binaadamu wakati wakienda nchi za Asia kufanya kazi za ndani

    Jan 24, 2017 13:52

    Polisi nchini Rwanda inawashikilia watu 13 kwa kuhusika na vitendo vya magendo ya binaadamu kwenda nchi za Asia

  • Burundi yawaachia huru mamia ya wafungwa

    Burundi yawaachia huru mamia ya wafungwa

    Jan 24, 2017 04:39

    Serikali ya Burundi imewaachia huru mamia ya wafungwa kufuatia agizo la Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo, huku watetezi wa haki za binadamu wakidai kuwa hiyo ni njama ya kutoa nafasi ya kukamatwa wanaharakati wa kisiasa.

  • SAUTI: Askari 850 wa Burundi watatumwa CAR wiki hii

    SAUTI: Askari 850 wa Burundi watatumwa CAR wiki hii

    Jan 23, 2017 13:13

    Wanajeshi wapatao 188 wa Burundi wameelekea Jamuhuri ya Afrika ya Kati kujiunga na kikosi cha kofia ya buluu cha Umoja wa Mataifa cha kusimamia amani nchini humo.

  • SAUTI: Burundi na AU zamaliza vutanikuvute kuhusiana na suala la ulipaji mishahara kwa askari wa nchi hiyo walioko Somalia

    SAUTI: Burundi na AU zamaliza vutanikuvute kuhusiana na suala la ulipaji mishahara kwa askari wa nchi hiyo walioko Somalia

    Jan 19, 2017 13:08

    Serikali ya Burundi imeelewana na Umoja wa Afrika kuhusiana na swala la ulipaji mishahara ya wanajeshi wa nchi hiyo wanaohudumu katika kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS