Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Machafuko ya karibuni Burundi, yalalamikiwa vikali

    Machafuko ya karibuni Burundi, yalalamikiwa vikali

    Jan 18, 2017 13:19

    Machafuko ya hivi karibuni yaliyotokea nchini Burundi na kuendelea kuvunjwa haki za binadamu nchini humo yameendelea kulalamikiwa vikali.

  • Kuondoka askari wa Burundi katika kikosi cha AMISOM; radiamali kwa uamuzi wa Umoja wa Ulaya

    Kuondoka askari wa Burundi katika kikosi cha AMISOM; radiamali kwa uamuzi wa Umoja wa Ulaya

    Jan 17, 2017 23:03

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute baina ya serikali ya Burundi na Umoja wa Ulaya ambao ndio mlipaji mkuu wa mishahara ya kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM, serikali ya Bujumbura imeanza kuondoa askari wake katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia

    Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia

    Jan 17, 2017 01:02

    Serikali ya Burundi imeanza kuwaondoa wanajeshi wake wanaohudumu katika Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom kutokana na mgogoro wa mshahara.

  • Taasisi ya haki za binaadamu nchini Burundi yapigwa marufuku na serikali

    Taasisi ya haki za binaadamu nchini Burundi yapigwa marufuku na serikali

    Jan 03, 2017 13:48

    Taasisi ya miaka mingi iliyokuwa ikiendesha shughuli za kibinaadamu nchini Burundi imepigwa marufuku na serikali.

  • Polisi: Waziri auawa kwa kufyatuliwa risasi Bujumbura, Burundi

    Polisi: Waziri auawa kwa kufyatuliwa risasi Bujumbura, Burundi

    Jan 01, 2017 03:49

    Waziri wa Mazingira wa Burundi ameuawa kwa kufyatuliwa risasi na mtu asiyejulikana usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu Bujumbura.

  • Burundi yatishia kuondoa wanajeshi wake Somalia

    Burundi yatishia kuondoa wanajeshi wake Somalia

    Dec 31, 2016 23:25

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametishia kuwa atawaondoa wanajeshi wa nchi yake walioko Somalia iwapo askari hao wanaohudumu katika kikosi cha Umoja wa Afrika UNISOM hawatalipwa mshahara wao.

  • Burundi yatishia kuishtaki AU na kuondoa askari wake Somalia

    Burundi yatishia kuishtaki AU na kuondoa askari wake Somalia

    Dec 31, 2016 03:36

    Burundi imetishia kuushataki Umoja wa Afrika AU sambamba na kuwaondoa askari wake nchini Somalia wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom.

  • UN kushiriki katika ufumbuzi wa mgogoro wa Burundi

    UN kushiriki katika ufumbuzi wa mgogoro wa Burundi

    Dec 28, 2016 11:09

    Katibu Mkuu Mteule wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa umoja huo una irada thabitii ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa ndani nchini Burundi.

  • Burundi yapasisha sheria kali ya kuzidhibiti asasi za kigeni

    Burundi yapasisha sheria kali ya kuzidhibiti asasi za kigeni

    Dec 25, 2016 04:14

    Bunge la Burundi limepasisha muswada wa sheria inayotaka kudhibitiwa asasi zisizo za kiserikali za kigeni, siku chache baada ya Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo kudai kuwa asasi hizo zinafanya kampeni kubwa dhidi ya serikali yake.

  • Wapinzani wazidi kutiwa mbaroni Burundi, wasiwasi waongezeka nchini

    Wapinzani wazidi kutiwa mbaroni Burundi, wasiwasi waongezeka nchini

    Dec 19, 2016 11:28

    Mkuu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Burundi (Iteka) amesema anatiwa wasiwasi na kuzidi kutiwa mbaroni wapinzani nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS