-
Burundi yakadhibisha tuhuma za kukiuka haki za binadamu
Dec 18, 2016 01:08Serikali ya Burundi imekana kwamba inakiuka haki za binadamu licha ya kuendelea mwenendo wa kutoweka raia nchini humo katika mazingira ya kutatanisha.
-
Rwanda yataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro na jirani yake, Burundi
Dec 17, 2016 13:16Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema kuwa, nchi yake inataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro na jirani yake Burundi kupitia njia ya mazungumzo
-
Mkapa yuko Burundi kwa ajili ya kuhuisha mazungumzo ya amani
Dec 08, 2016 09:59Benjamin Mkapa mpatanishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika mgogoro wa Burundi yuko mjini Bujumbura kwa shabaha ya kuhuisha mazungumzo ya amani ya nchi hiyo inayokabiliwa na mgogoro wa kisiasa.
-
Polisi watiwa mbaroni Burundi kwa kutaka kumuua msemaji wa Rais
Dec 04, 2016 03:59Jeshi la polisi nchini Burundi limewatia mbaroni maafisa watatu wa jeshi hilo kwa tuhuma za kushiriki katika jaribio la kutaka kumuua Willy Nyamitwe, msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza.
-
Mkapa azitaka pande husika Burundi kuheshimu mchakato wa amani
Dec 02, 2016 03:48Rais Mstaafu wa Tanzania ambaye pia ni mpatanishi wa mgogoro wa Burundi amezitaka pande husika katika nchi hiyo kushikamana na kuheshimu mchakato wa amani na hatua zilizopigwa za kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Maelfu waandamana Burundi wakiupinga Umoja wa Mataifa na Ubelgiji
Nov 27, 2016 04:17Maelfu ya wananchi wa Burundi wameandamana katika mji mkuu Bujumbura wakiupinga Umoja wa Mataifa pamoja na siasa za Ubelgiji za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.
-
UN yapasisha mpango wa kuundwa kamati ya kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu Burundi
Nov 24, 2016 10:03Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimepasisha mpango wa kuundwa kamati ya uchunguzi kuhusiana na vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu nchini Burundi.
-
Waandishi wa habari watiwa nguvuni Burundi kwa kutaja majina ya watuhumiwa wa ukandamizaji
Nov 12, 2016 10:46Polisi nchini Burundi imewatia nguvuni waandishi wa habari wawili kufuatia kutangaza moja ya majina ya watu wanaodaiwa kuhusika katika vitendo vya ukandamizaji nchini humo.
-
Machafuko ya umwagaji damu yaendelea kushuhudiwa Burundi
Oct 31, 2016 04:01Machafuko na mapigano ya umwagaji damu yameendelea kushuhudiwa nchini Burundi.
-
Serikali ya Burundi yaitaarifu rasmi Mahkama ya ICC juu ya hatua yake ya kujiondoa
Oct 28, 2016 01:22Serikali ya Burundi imeitaarifu rasmi Mahakama ya Jinai ya ICC juu ya kujiondoa kwake kutoka mahakama hiyo.