Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Karenga Ramadhan ataka kulindwa waandishi habari  Burundi

    Karenga Ramadhan ataka kulindwa waandishi habari Burundi

    Oct 26, 2016 03:21

    Baraza la Taifa la Mawasiliano la Burundi limetaka kulindwa waandishi habari na kupewa uhuru zaidi utendaji kazi katika sekta hiyo.

  • SAUTI: Serikali ya Burundi yatangaza kuyafuta mashirika matano kwa kushindwa kuwajibika, huku ikituhumiwa kwa usiasa

    SAUTI: Serikali ya Burundi yatangaza kuyafuta mashirika matano kwa kushindwa kuwajibika, huku ikituhumiwa kwa usiasa

    Oct 24, 2016 13:37

    Hatua hiyo imetajwa kuwa ni baada ya mashirika hayo kuendeleza shughuli zake kwa siri na kinyume cha sharia.

  • Mwandishi wa habari Mmarekani atiwa mbaroni nchini Burundi

    Mwandishi wa habari Mmarekani atiwa mbaroni nchini Burundi

    Oct 24, 2016 04:46

    Polisi nchini Burundi wamemsaili mwandishi wa habari raia wa Marekani na mtu aliyekuwa ameandamana naye kwa tuhuma ya kuharibu nyaraka zinazohusu kesi ya jinai.

  • Baraza la Usalama laelezea wasiwasi wake kwa hatua ya Burundi ya kukataa kutumwa polisi wa UN

    Baraza la Usalama laelezea wasiwasi wake kwa hatua ya Burundi ya kukataa kutumwa polisi wa UN

    Oct 15, 2016 00:44

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea wasiwasi mkubwa lilionao kutokana na hatua ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza ya kukataa kutumwa nchini Burundi polisi wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kwenda kusimamia amani nchini humo.

  • Bunge la Burundi lapasisha muswada wa kujiondoa mahakama ya ICC

    Bunge la Burundi lapasisha muswada wa kujiondoa mahakama ya ICC

    Oct 12, 2016 12:25

    Bunge la Burundi leo limepasisha muswada wa kujiondoa nchi hiyo katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) baada ya Umoja wa Mataifa kuanza kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo.

  • Machafuko Burundi, kiongozi wa chama tawala auawa na watu wasiojulikana

    Machafuko Burundi, kiongozi wa chama tawala auawa na watu wasiojulikana

    Oct 11, 2016 12:39

    Mmoja wa viongozi wa chama tawala CNDD-FDD nchini Burundi ameripotiwa kuuawa katika shambulizi lililofanywa na watu wasiojulikana.

  • Mamia ya maelfu ya wakimbizi wa Burundi wahajiri katika nchi jirani

    Mamia ya maelfu ya wakimbizi wa Burundi wahajiri katika nchi jirani

    Sep 25, 2016 00:48

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mamia ya maelfu ya wakimbizi wa Burundi wamehamia katika nchi jirani.

  • UN yatahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari Burundi

    UN yatahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari Burundi

    Sep 21, 2016 10:38

    Kundi la wachunguzi wa Umoja wa Mataifa limetahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari yanayonukia huko Burundi na kueleza kuwa, mwenendo jumla wa kauli zenye kuleta mgawanyiko wa kikabila zinazotolewa na serikali ya nchi hiyo zinamaanisha kuwa mzozo unaweza kuenea hadi katika nchi nyingine za Kiafrika.

  • Burundi: Raia wetu waliokimbia nchi kwa machafuko wanaendelea kurudi kwa hiari

    Burundi: Raia wetu waliokimbia nchi kwa machafuko wanaendelea kurudi kwa hiari

    Sep 15, 2016 23:31

    Serikali ya Burundi imesema kuwa, hadi sasa zaidi ya wakimbizi elfu 30 raia wa nchi hiyo wamerejea makwao katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni.

  • Waziri wa masuala ya wakimbizi wa Uganda atembelea Burundi

    Waziri wa masuala ya wakimbizi wa Uganda atembelea Burundi

    Sep 14, 2016 23:58

    Waziri wa Nchi wa serikali ya Uganda katika masuala ya wakimbizi, Musa Ecweru, amefanya ziara nchini Burundi kwa lengo la kujadili masuala ya wakimbizi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS