-
SAUTI: Makaburi ya Umati yazidi kushuhudiwa Burundi
Sep 08, 2016 14:02Miili ya watu wengi imegunduliwa katika mkoa wa Muramvya katikati mwa Burundi.
-
Chama tawala nchini Burundi chamteua Ndayishimiye kuwa mkuu mpya
Aug 23, 2016 11:53Wajumbe wa chama tawala 'CNDD-FDD' nchini Burundi wamemchagua kwa wingi wa kura Meja Jenerali Evariste Ndayishimiye kuwa mkuu mpya wa chama hicho.
-
RSF yaitaka serikali ya Burundi kumwachilia huru mwandishi wa habari
Aug 20, 2016 23:55Shirika na Madaktari Wasio na Mipaka (RSF), limetaka kuachiliwa huru mwandishi wa habari raia wa Burundi anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.
-
Jumamosi, 20 Agosti 2016
Aug 20, 2016 01:28Leo ni Jumamosi tarehe 17 Mfunguo Pili Dhil-Qaadah mwaka 1437 Hijria mwafaka na tareje 20 Agosti mwaka 2016 Miladia.
-
Bunge la Burundi lapinga azimio nambari 2303 la Baraza la Usalama la UN
Aug 19, 2016 03:36Wabunge wa Burundi wamepinga azimio nambari 2303 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Maandamano dhidi ya Ufaransa yaongezeka nchini Burundi
Aug 18, 2016 03:13Maandamano ya kuipinga Ufaransa yanaripotiwa kuongezeka nchini Burundi.
-
Wataalamu wa UN: Utesaji na ukatili wa kingono unaongezeka Burundi
Aug 12, 2016 22:22Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametangaza kuwa utesaji dhidi ya wakosoaji wa serikali wanaowekwa kizuizini nchini Burundi unaongezeka; na vikosi vya usalama vinafanya ukatili wa kingono dhidi ya wanawake wakati wa maandamano ya upinzani na wanapofanya upekuzi.
-
EALA kusuluhisha uhasama kati ya Rwanda na Burundi
Aug 09, 2016 08:41Bunge la Afrika Mashariki EALA limesema karibuni hivi litaanza kuchunguza kwa shabaha ya kuupatia ufumbuzi mzozo na uhasama kati ya nchi jirani za Rwanda na Burundi.
-
Polisi ya Burundi yachukua hatua kali za kuingia na kutoka katika mpaka wake na Rwanda
Aug 07, 2016 03:10Polisi ya Burundi imetangaza kuwa, imechukua hatua kali za kuingia na kutoka katika maeneo ya mipaka yake na jirani yake Rwanda.
-
Makumi ya familia za Warundi zarejea nyumbani
Aug 04, 2016 10:37Gavana wa mkoa mmoja kaskazini mashariki mwa Burundi ametangaza habari ya kurejea mamia ya familia za raia wa Burundi waliokuwa wamekimbilia nchini Tanzania.