Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Wananchi wa Burundi waendelea kufanya maandamano dhidi ya Ufaransa

    Wananchi wa Burundi waendelea kufanya maandamano dhidi ya Ufaransa

    Aug 01, 2016 09:13

    Wananchi wa Burundi wameendelea kufanya maandamano dhidi ya Ufaransa ambapo leo walikusanyika mbele ya ubalozi wa Ufaransa mjini Bujumbura.

  • Warundi waandamana mbele ya ubalozi wa Ufaransa kupinga pendekezo lake UN

    Warundi waandamana mbele ya ubalozi wa Ufaransa kupinga pendekezo lake UN

    Jul 30, 2016 10:48

    Vyombo vya habari nchini Burundi vimearifu kuwa yamefanyika maandamano hadi mbele ya ubalozi wa Ufaransa mjini Bujumbura kupinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililopendekezwa na serikali ya Paris.

  • UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi

    UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi

    Jul 30, 2016 03:43

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha pendekezo la Ufaransa la kutumwa askari polisi zaidi ya 200 wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kuhitimisha machafuko ya zaidi ya mwaka mmoja nchini humo.

  • Wafuasi wa chama tawala Burundi wakosolewa kwa kuhusika na jinai

    Wafuasi wa chama tawala Burundi wakosolewa kwa kuhusika na jinai

    Jul 28, 2016 00:20

    Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limelaani vitendo vya ukatili vinavyofanywa na baadhi ya wafuasi wa chama tawala nchini Burundi CNDD-FDD.

  • Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Jul 26, 2016 12:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa, Uganda ndiyo inayoongoza kwa visa vya uhalifu wa kutumia silaha za moto katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM

    Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM

    Jul 25, 2016 09:43

    Msemaji wa jeshi la Burundi amesema kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo walioko nchini Somalia wataendelea kuhudumu chini ya mwavuli wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika (AMISOM).

  • Jumapili, Julai 17,2016

    Jumapili, Julai 17,2016

    Jul 17, 2016 00:06

    Leo ni Jumapili tarehe 12 Shawwal mwaka 1437 Hijria, inayosadifiana na tarehe 17 Julai 2016 Miladia.

  • Kutokuwa na natija duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi

    Kutokuwa na natija duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi

    Jul 14, 2016 02:50

    Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kwa usimamizi wa Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa imeshindwa kuwa na matunda kutokana na makundi ya upinzani kulalamikia kushiriki katika mazungumzo hayo viongozi kadhaa wa serikali ya Bujumbura.

  • Waziri wa zamani wa Burundi katika EAC auawa Bujumbura

    Waziri wa zamani wa Burundi katika EAC auawa Bujumbura

    Jul 13, 2016 10:53

    Waziri wa zamani wa Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Hafsa Mossi ameuawa kwa kufyatuliwa risasi nje ya nyumba yake mjini Bujumbura.

  • Kuungwa mkono duru ya pili ya mazungumzo ya serikali ya Burundi na wapinzani

    Kuungwa mkono duru ya pili ya mazungumzo ya serikali ya Burundi na wapinzani

    Jul 10, 2016 08:04

    Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imesema inaunga mkono kufanyika duru ya pili ya mazungumo kati ya serikali ya Burundi na wapinzani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS