-
Wananchi wa Burundi waendelea kufanya maandamano dhidi ya Ufaransa
Aug 01, 2016 09:13Wananchi wa Burundi wameendelea kufanya maandamano dhidi ya Ufaransa ambapo leo walikusanyika mbele ya ubalozi wa Ufaransa mjini Bujumbura.
-
Warundi waandamana mbele ya ubalozi wa Ufaransa kupinga pendekezo lake UN
Jul 30, 2016 10:48Vyombo vya habari nchini Burundi vimearifu kuwa yamefanyika maandamano hadi mbele ya ubalozi wa Ufaransa mjini Bujumbura kupinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililopendekezwa na serikali ya Paris.
-
UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi
Jul 30, 2016 03:43Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha pendekezo la Ufaransa la kutumwa askari polisi zaidi ya 200 wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kuhitimisha machafuko ya zaidi ya mwaka mmoja nchini humo.
-
Wafuasi wa chama tawala Burundi wakosolewa kwa kuhusika na jinai
Jul 28, 2016 00:20Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limelaani vitendo vya ukatili vinavyofanywa na baadhi ya wafuasi wa chama tawala nchini Burundi CNDD-FDD.
-
Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki
Jul 26, 2016 12:25Utafiti mpya umefichua kuwa, Uganda ndiyo inayoongoza kwa visa vya uhalifu wa kutumia silaha za moto katika kanda ya Afrika Mashariki.
-
Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM
Jul 25, 2016 09:43Msemaji wa jeshi la Burundi amesema kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo walioko nchini Somalia wataendelea kuhudumu chini ya mwavuli wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika (AMISOM).
-
Jumapili, Julai 17,2016
Jul 17, 2016 00:06Leo ni Jumapili tarehe 12 Shawwal mwaka 1437 Hijria, inayosadifiana na tarehe 17 Julai 2016 Miladia.
-
Kutokuwa na natija duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi
Jul 14, 2016 02:50Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kwa usimamizi wa Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa imeshindwa kuwa na matunda kutokana na makundi ya upinzani kulalamikia kushiriki katika mazungumzo hayo viongozi kadhaa wa serikali ya Bujumbura.
-
Waziri wa zamani wa Burundi katika EAC auawa Bujumbura
Jul 13, 2016 10:53Waziri wa zamani wa Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Hafsa Mossi ameuawa kwa kufyatuliwa risasi nje ya nyumba yake mjini Bujumbura.
-
Kuungwa mkono duru ya pili ya mazungumzo ya serikali ya Burundi na wapinzani
Jul 10, 2016 08:04Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imesema inaunga mkono kufanyika duru ya pili ya mazungumo kati ya serikali ya Burundi na wapinzani.