Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Burundi yakanusha vikali madai ya kuwatesa wapinzani

    Burundi yakanusha vikali madai ya kuwatesa wapinzani

    Jul 10, 2016 02:57

    Serikali ya Burundi imesema kuwa, ripoti ya Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Huma Rights Watch kwamba, serikali ya Bujumbura imekuwa ikiwatesa wapinzani haina ukweli wowote.

  • Baribonekeza: Burundi itakabiliana na biashara ya magendo ya binadamu

    Baribonekeza: Burundi itakabiliana na biashara ya magendo ya binadamu

    Jul 08, 2016 09:08

    Mkuu wa Tume Huru ya Haki za Binadamu nchini Burundi amesema kuwa, nchi hiyo itakabiliana kwa nguvu zake zote za biashara ya magendo ya binadamu.

  • Seikali ya Burundi yatuhumiwa kuwatesa wapinzani

    Seikali ya Burundi yatuhumiwa kuwatesa wapinzani

    Jul 08, 2016 03:00

    Serikali ya Burundi kwa mara nyingine tena imetuhumiwa kwamba inawatesa wapinzani wake.

  • Azma ya serikali ya Burundi kwa ajili ya kurejesha usalama nchini humo

    Azma ya serikali ya Burundi kwa ajili ya kurejesha usalama nchini humo

    Jul 03, 2016 12:27

    Rais wa Burundi ametangaza azma ya serikali yake ya kutatua masuala kadhaa, ikiwemo kurejeshwa usalama nchini humo.

  • Rais Nkurunziza: Tunajitahidi kuimarisha usalama na amani Burundi

    Rais Nkurunziza: Tunajitahidi kuimarisha usalama na amani Burundi

    Jul 02, 2016 08:50

    Rais Pirre Nkurunziza wa Burundi amesema kuwa, serikali yake imezimia kuimarisha usalama na amani nchini humo.

  • Jumuiya za kiraia Burundi zaitaka serikali kupambana na magendo ya wanawake

    Jumuiya za kiraia Burundi zaitaka serikali kupambana na magendo ya wanawake

    Jul 02, 2016 03:33

    Jumuiya za kiraia nchini Burundi zimeitaka serikali ya nchi hiyo kukomesha magendo ya wanawake na wasichana wanaotoroshwa nchini humo na kupelekwa nchi za nje hususan Saudi Arabia.

  • Hali ya haki za binadamu Burundi yajadiliwa katika Baraza la Haki za Binadamu

    Hali ya haki za binadamu Burundi yajadiliwa katika Baraza la Haki za Binadamu

    Jun 29, 2016 22:58

    Hali ya haki za binadamu nchini Burundi imejadiliwa katika kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.

  • AU yataka kusuluhishwa mzozo wa Burundi haraka

    AU yataka kusuluhishwa mzozo wa Burundi haraka

    Jun 28, 2016 03:04

    Umoja wa Afrika umetoa wito wa kufanyika haraka mazungumzo ya kina yatakayojumuisha pande zote husika kwa ajili ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini Burundi.

  • Wanaharakati wataka kukomeshwa ukiukwaji wa haki za binadamu Burundi

    Wanaharakati wataka kukomeshwa ukiukwaji wa haki za binadamu Burundi

    Jun 25, 2016 23:42

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ishughulikie ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi.

  • Polisi Burundi yawakamata wafanya magendo ya binadamu

    Polisi Burundi yawakamata wafanya magendo ya binadamu

    Jun 21, 2016 10:29

    Polisi ya Burundi imewatia nguvuni watu kadhaa kwa tuhuma za kushiriki katika magendo ya binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS