Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • AU yazitolea wito pande hasimu Burundi kufanya mazungumzo

    AU yazitolea wito pande hasimu Burundi kufanya mazungumzo

    Jun 19, 2016 22:50

    Wawakilishi wa Umoja wa Afrika (AU) katika mgogoro wa kisiasa wa Burundi wamezitolea wito pande zinazozozana katika mgogoro wa nchi hiyo kutatua hitilafu zao kwa njia ya mazungumzo.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya hali ya kiusalama DRC

    Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya hali ya kiusalama DRC

    Jun 18, 2016 03:37

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, yumkini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikatumbukia katika wimbi la ghasia za uchaguzi kama Burundi.

  • UN yaanza kufanya uchunguzi wa uvunjaji wa haki za binaadamu Burundi

    UN yaanza kufanya uchunguzi wa uvunjaji wa haki za binaadamu Burundi

    Jun 14, 2016 03:32

    Kundi moja la wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa limefanya safari nchini Burundi kwa ajili ya kufanya uchunguzi kuhusu uvunjwaji wa haki za binaadamu nchini humo.

  • Karibu robo nzima ya wananchi wa Burundi wanaishi katika mgogoro mkubwa wa chakula

    Karibu robo nzima ya wananchi wa Burundi wanaishi katika mgogoro mkubwa wa chakula

    Jun 13, 2016 11:07

    Taasisi mbalimbali za kimataifa zimetangazao kuwa, asilimia 23 ya wananchi wa Burundi wanateseka kwa lishe duni.

  • Makumi wauawa katika mapigano makali jijini Bujumbura

    Makumi wauawa katika mapigano makali jijini Bujumbura

    Jun 12, 2016 09:51

    Duru za habari nchini Burundi zimeripoti kujiri mapigano makali kati ya askari wa serikali na waasi katika maeneo kadhaa ya jiji la Bujumbura, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Polisi wa Burundi kuondolewa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Polisi wa Burundi kuondolewa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 12, 2016 00:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuondolewa maafisa wa polisi wa Burundi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ifikapo mwishoni mwa mwezi ujao wa Julai.

  • Burundi: Hatutaki mazungumzo ya amani na upinzani

    Burundi: Hatutaki mazungumzo ya amani na upinzani

    Jun 11, 2016 03:05

    Licha ya juhudi za kimataifa na za kieneo za kutaka kutatuliwa mgogoro wa Burundi, lakini serikali ya nchi hiyo imesema haiko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa upinzani.

  • Kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi

    Kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi

    Jun 08, 2016 09:59

    Hali ya mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi imeongezeka baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda bi Louise Mushikiwabo kusema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na vitisho vya kiusalama kutoka Burundi.

  • Burundi hali bado si shwari

    Burundi hali bado si shwari

    Jun 06, 2016 09:44

    Anga ya kisiasa nchini Burundi imeendelea kuwa mbaya, huku duru za habari zikiripoti habari ya kutiwa nguvuni na maafisa usalama wa nchi hiyo mwandishi wa habari Egide Ndayisenga.

  • Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza

    Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza

    Jun 03, 2016 10:16

    Hali imeendelea kuwa tete nchini Burundi licha ya Rais Pierre Nkurunzinza kutoa muda maalumu kwa kundi la wapinzani wa serikali, wa kuachana na upinzani wao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS