-
Burundi na Morocco kuimarisha ushirikiano wa kibunge baina yao
May 29, 2016 03:05Spika wa Baraza la Seneti nchini Burundi ameelezea habari ya safari ya Spika wa Bunge la nchi hiyo, Révérien Ndikuriyo nchini Morocco katika kukamilisha ushirikiano wa pamoja wa kibunge baina ya nchini hizo mbili.
-
Ombi la kufanyika mazungumzo mapana nchini Burundi
May 28, 2016 23:22Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kufanyika mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.
-
Umoja wa Mataifa wataka kufanyika mazungumzo mapana Burundi
May 28, 2016 03:17Umoja wa Mataifa umetaka yafanyike mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.
-
Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi
May 25, 2016 08:55Watu wasiojulikana wenye silaha wameshambulia ofisi ya chama tawala cha CNDD-FDD katika wilaya ya Ndava huko Mwaro nchini Burundi na kuuawa polisi mmoja na raia mwengine mmoja.
-
Upinzani kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi
May 24, 2016 23:37Muungano mkuu wa upinzani nchini Burundi unaoitwa CNARED umesema uko tayari kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani iwapo utaalikwa rasmi.
-
UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada
May 22, 2016 11:52Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi raia wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wanahitajia misaada ya dharura na kwamba idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka nchi mbili hizo na haswa Burundi ni ya kutia wasi wasi.
-
Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi
May 21, 2016 08:42Umoja wa Afrika AU umetoa ripoti maalumu kuhusiana na uvunjaji wa haki za binadamu nchini Burundi na kusisitizia nia ya umoja huo ya kutuma askari wa kimataifa wa kulinda amani nchini humo.
-
Burundi yaituhumu tena Rwanda kuwa inaharibu usalama wake
May 20, 2016 02:36Kwa mara nyingine tena serikali ya Burundi imeituhumu Rwanda kuwa inafanya njama za kuharibu utulivu nchini humo.
-
Radiamali ya serikali ya Rwanda kwa tuhuma kwamba inachochea machafuko nchini Burundi
May 14, 2016 07:17Serikali ya Rwanda imetoa radiamali kuhusiananna tuhuma dhidi yake kwamba, imekuwa ikichochea machafuko katika nchi jirani ya burundi.
-
21 wahukumiwa kifungo cha maisha jela Burundi kwa 'kupanga mapinduzi'
May 10, 2016 02:25Mahakama ya Juu ya Burundi imetoa hukumu ya maisha jela kwa maafisa 21 wa jeshi la nchi hiyo, wanaodaiwa kuhusika na njama iliyofeli ya kuipindua serikali mwezi Mei mwaka jana wa 2015.