Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Burundi na Morocco kuimarisha ushirikiano wa kibunge baina yao

    Burundi na Morocco kuimarisha ushirikiano wa kibunge baina yao

    May 29, 2016 03:05

    Spika wa Baraza la Seneti nchini Burundi ameelezea habari ya safari ya Spika wa Bunge la nchi hiyo, Révérien Ndikuriyo nchini Morocco katika kukamilisha ushirikiano wa pamoja wa kibunge baina ya nchini hizo mbili.

  • Ombi la kufanyika mazungumzo mapana nchini Burundi

    Ombi la kufanyika mazungumzo mapana nchini Burundi

    May 28, 2016 23:22

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kufanyika mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyika mazungumzo mapana Burundi

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyika mazungumzo mapana Burundi

    May 28, 2016 03:17

    Umoja wa Mataifa umetaka yafanyike mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.

  • Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi

    Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi

    May 25, 2016 08:55

    Watu wasiojulikana wenye silaha wameshambulia ofisi ya chama tawala cha CNDD-FDD katika wilaya ya Ndava huko Mwaro nchini Burundi na kuuawa polisi mmoja na raia mwengine mmoja.

  • Upinzani kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi

    Upinzani kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi

    May 24, 2016 23:37

    Muungano mkuu wa upinzani nchini Burundi unaoitwa CNARED umesema uko tayari kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani iwapo utaalikwa rasmi.

  • UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada

    UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada

    May 22, 2016 11:52

    Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi raia wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wanahitajia misaada ya dharura na kwamba idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka nchi mbili hizo na haswa Burundi ni ya kutia wasi wasi.

  • Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi

    Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi

    May 21, 2016 08:42

    Umoja wa Afrika AU umetoa ripoti maalumu kuhusiana na uvunjaji wa haki za binadamu nchini Burundi na kusisitizia nia ya umoja huo ya kutuma askari wa kimataifa wa kulinda amani nchini humo.

  • Burundi yaituhumu tena Rwanda kuwa inaharibu usalama wake

    Burundi yaituhumu tena Rwanda kuwa inaharibu usalama wake

    May 20, 2016 02:36

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Burundi imeituhumu Rwanda kuwa inafanya njama za kuharibu utulivu nchini humo.

  • Radiamali ya serikali ya Rwanda kwa tuhuma kwamba inachochea machafuko nchini Burundi

    Radiamali ya serikali ya Rwanda kwa tuhuma kwamba inachochea machafuko nchini Burundi

    May 14, 2016 07:17

    Serikali ya Rwanda imetoa radiamali kuhusiananna tuhuma dhidi yake kwamba, imekuwa ikichochea machafuko katika nchi jirani ya burundi.

  • 21 wahukumiwa kifungo cha maisha jela Burundi kwa 'kupanga mapinduzi'

    21 wahukumiwa kifungo cha maisha jela Burundi kwa 'kupanga mapinduzi'

    May 10, 2016 02:25

    Mahakama ya Juu ya Burundi imetoa hukumu ya maisha jela kwa maafisa 21 wa jeshi la nchi hiyo, wanaodaiwa kuhusika na njama iliyofeli ya kuipindua serikali mwezi Mei mwaka jana wa 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS