Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani aonyesha wasiwasi wake kuhusiana na hali ya Burundi

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani aonyesha wasiwasi wake kuhusiana na hali ya Burundi

    May 09, 2016 03:17

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameonyesha wasiwasi alionao kuhusiana na hali ya mambo nchini Burundi.

  • Polisi ya Burundi yatangaza idadi ya wahanga wa machafuko ya nchi hiyo

    Polisi ya Burundi yatangaza idadi ya wahanga wa machafuko ya nchi hiyo

    May 04, 2016 03:26

    Machafuko nchini Burundi yaliyodumu kwa mwaka mzima sasa yamepelekea watu 451 kuuawa.

  • Indhari ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR kuhusiana na hali ya Burundi

    Indhari ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR kuhusiana na hali ya Burundi

    May 03, 2016 08:00

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetoa ripoti na kutangaza kuwa, katika hali ambayo umepita mwaka mmoja tangu mgogoro wa Burundi ulipoibuka, hali ya mambo nchini humo ingali si shwari na kwamba, wananchi wa nchi hiyo wanaendelea kukimbilia katika nchi jirani.

  • Kikao cha Arusha kwa ajili ya amani ya Burundi chaahirishwa

    Kikao cha Arusha kwa ajili ya amani ya Burundi chaahirishwa

    May 01, 2016 23:29

    Mazungumzo ya amani ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini Burundi ambayo yalitazamiwa kuanza leo Jumatatu mjini Arusha nchini Tanzania yameahirishwa.

  • Watu wenye silaha wafanya hujuma mpya jijini Bujumbura Burundi

    Watu wenye silaha wafanya hujuma mpya jijini Bujumbura Burundi

    Apr 29, 2016 11:42

    Watu wenye silaha wamefanya shambulizi huko Bujumbura, mji mkuu wa Burundi, na kuua na kujeruhi watu kadhaa.

  • Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000

    Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000

    Apr 28, 2016 10:46

    Umoja wa Mataifa umetaarifiwa kuwa idadi ya watu waliouawa katika mgogoro wa kisiasa nchini Burundi yumkini imepindukia watu 1,000.

  • UN, lazima jinai za machafuko ya nchini Burundi zichunguzwe

    UN, lazima jinai za machafuko ya nchini Burundi zichunguzwe

    Apr 28, 2016 03:02

    Umoja wa Mataifa umetaka kuanza kuchunguzwa vitendo vya mauaji nchini Burundi.

  • Machafuko ya Burundi yaitia wasiwasi jamii ya kimataifa

    Machafuko ya Burundi yaitia wasiwasi jamii ya kimataifa

    Apr 27, 2016 03:25

    Machafuko yanayoendelea kushuhudiwa katika nchi ya Burundi yameitumbukiza nchi hiyo katika mgogoro mkubwa. Mauaji ya Waziri wa Haki za Binadamu, Martin Nivyabandi na mkewe na yale ya hivi majuzi ya Athanase Kararuza aliyekuwa mshauri wa masuala ya kijeshi wa Rais wa Burundi, yameizamisha zaidi nchini hiyo katika lindi kubwa la machafuko na ukosefu wa amani.

  • Faili la kuchunguza hali ya Burundi lafunguliwa katika mahakama ya ICC

    Faili la kuchunguza hali ya Burundi lafunguliwa katika mahakama ya ICC

    Apr 25, 2016 10:36

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imefungua faili maalumu la kufuatilia hali ya kisiasa na kiusalama ya Burundi.

  • UNHCR: Wananchi wa Burundi wanazidi kuikimbia nchi yao

    UNHCR: Wananchi wa Burundi wanazidi kuikimbia nchi yao

    Apr 22, 2016 23:51

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi (UNHCR), limetangaza kuwa idadi ya wakimbizi wa Burundi wanaoomba hifadhi nchi jirani inaongezeka na sasa imefikia 260,000.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS