Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Burundi yawatimua raia wa nchi zilizosimamisha ushirikiano na Bujumbura

    Burundi yawatimua raia wa nchi zilizosimamisha ushirikiano na Bujumbura

    Apr 22, 2016 10:45

    Burundi imewataka raia wa nchi za kigeni zilizosimamisha ushirikiano na serikali ya Bujumbura, kuondoka nchini humo.

  • Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua

    Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua

    Apr 21, 2016 10:53

    Watu wanne wameuawa katika matukio mawili tofauti katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kulipiza kisasi kati ya maafisa wa serikali na waasi nchini Burundi.

  • Serikali ya Burundi yaomba iondolewe vikwazo ilivyowekewa na Jumuiya ya Francophone

    Serikali ya Burundi yaomba iondolewe vikwazo ilivyowekewa na Jumuiya ya Francophone

    Apr 17, 2016 02:30

    Serikali ya Burundi imeomba iondolewe vikwazo ilivyowekewa na Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Lugha ya Kifaransa (Francophone).

  • Afisa wa serikali ya Burundi auawa katika makabiliano ya kulipiza kisasi

    Afisa wa serikali ya Burundi auawa katika makabiliano ya kulipiza kisasi

    Apr 14, 2016 10:01

    Afisa wa chama tawala nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi, katika kile kinachoonekana ni wimbi la makabiliano ya kulipiza kisasi dhidi ya serikali.

  • Watu 46 wameuawa Burundi mwaka huu

    Watu 46 wameuawa Burundi mwaka huu

    Apr 14, 2016 02:52

    watu 46 wameripotiwa kuuawa ndani ya kipindi cha miezi mitatu ya mwanzoni mwa mwaka huu katika ghasia zinazoendelea nchini Burundi.

  • Watu watano wauawa sokoni nchini Burundi

    Watu watano wauawa sokoni nchini Burundi

    Apr 12, 2016 11:38

    Watu watano wamepigwa risasi na kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa Jumatatu usiku kufuatia hujuma iliyofanyika katika soko moja mashariki mwa Burundi.

  • Baraza la Usalama kutuma kikosi cha polisi Burundi

    Baraza la Usalama kutuma kikosi cha polisi Burundi

    Apr 02, 2016 03:27

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutuma kikosi cha maafisa wa polisi wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kudhibiti hali ya mambo nchini humo.

  • Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa

    Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa

    Apr 02, 2016 01:49

    Tume Huru ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Buundi imeelezea wasi wasi wake kuhusiana na hali ya kiusalama na kisiasa nchini Burundi na kuongeza kwamba mamia ya watu wamekwishauawa kufikia sasa.

  • Rwanda yaitaka Burundi ifafanue kuhusu kifo cha mwanadiplomasia wake wa zamani

    Rwanda yaitaka Burundi ifafanue kuhusu kifo cha mwanadiplomasia wake wa zamani

    Apr 01, 2016 02:52

    Rwanda imeitaka serikali ya Burundi kueleza chanzo cha kifo cha balozi wa zamani wa nchi hiyo nchini Ubelgiji na Ufaransa Jacques Bihozagara.

  • Waziri wa zamani wa Rwanda afia jela Burundi

    Waziri wa zamani wa Rwanda afia jela Burundi

    Mar 30, 2016 22:59

    Waziri wa zamani w Rwanda, Jacques Bihozagara ameaga dunia akiwa katika jela ya Burundi yapata miezi minne baada ya kutiwa nguvuni kwa tuhuma za kufanya ujasusi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS