-
Mkutano wa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki nchini Burundi
Mar 30, 2016 06:34Mji mkuu wa Burundi Bujumbura ni mwenyeji wa mkutano wa ukanda wa nchi za Afrika Mashariki ambao lengo lake ni kupanua ushirikiano wa pamoja na ustawi wa kijamii katika nchi hizo.
-
Kikao cha ushirikiano wa nchi za Mashariki mwa Afrika chaendelea nchini Burundi
Mar 29, 2016 23:27Kikao cha ushirikiano na ustawi wa kijamii wa nchi za ukanda wa eneo la Mashariki mwa Afrika, kinaendelea jijini Bujumbura, Burundi licha ya mgogoro wa kisiasa kuendelea kushuhudiwa nchini.
-
EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia
Mar 29, 2016 11:14Umoja wa Ulaya unapanga kupunguza ufadhili wake kwa askari wa Burundi ambao ni miongoni mwa wanajeshi wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.
-
Mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi
Mar 28, 2016 03:22Chama tawala Burundi kimemtuhumu Rais wa Rwanda kuwa anatekeleza maangamizi ya kizazi. Paschal Nyabenda mkuu wa chama tawala cha Burundi CNDD-FDD ameashiria maangamizi ya kizazi yaliyojiri Rwanda na kueleza kuwa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo anawasajili vijana wa Burundi katika kambi za wakimbizi zilizopo Rwanda na kuwapatia mafunzo, ili baadaye wakirejea nchini kwao watekeleze mauaji ya kimbari.
-
Rais wa Rwanda atuhumiwa na Burundi 'kusafirisha' mauaji ya kimbari
Mar 27, 2016 22:31Chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD kimemtuhumu Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa anataka "kusafirisha" mauaji ya kimbari, huku uhusiano kati ya nchi mbili hizo jirani ukizidi kuharibika.
-
Burundi: Jeshi letu halijagawanyika makundi mawili
Mar 26, 2016 12:27Msemaji wa jeshi la Burundi amekadhibisha habari za kugawika makundi mawili jeshi la nchi hiyo. Gaspard Baratuza ameyasema hayo kupitia mahojiano ya redio na kuongeza kuwa, ripoti za baadhi ya wanasiasa juu ya kugawika jeshi la nchi hiyo katika makundi mawili ya Kihutu na Kitutsi, hayana ukweli wowote.
-
Baraza la Haki za Binadamu laitisha kikao kujadili hali ya mambo nchini Burundi
Mar 23, 2016 10:30Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa jana liliitisha kikao kujadili hali ya mambo nchini Burundi.
-
Kamanda wa jeshi la Burundi auawa kwa kupigwa risasi
Mar 22, 2016 22:36Kamanda mmoja wa jeshi la Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.
-
Ki-moon: Viongozi wa kisiasa Burundi waonyeshe ushujaa wao kupitia mazungumzo
Mar 20, 2016 04:46Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon ameitaka serikali na viongozi wa upinzani nchini Burundi, kufanya mazungumzo yenye itibari ili kumaliza mgogoro wa nchi hiyo.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na kuongezeka machafuko nchini Burundi
Mar 19, 2016 13:21Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusiana na kuongezeka utumiaji mabavu na vitendo vya utesaji katika nchi ya Burundi.