-
Machafuko yashika kasi zaidi nchini Burundi
Mar 17, 2016 05:57Raia kadhaa wanaripotiwa kuuawa katika machafuko yanayoendelea huko kusini mwa Burundi.
-
Machafuko yashika kasi zaidi nchini Burundi
Mar 17, 2016 03:33Raia kadhaa wanaripotiwa kuuawa katika machafuko yanayoendelea huko kusini mwa Burundi.
-
Wapinzani Burundi: AU imeshindwa kutetea demokrasia
Mar 13, 2016 13:00Viongozi wa upinzani nchini Burundi wameukosoa vikali Umoja wa Afrika (AU) kwa kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo tangu mwezi Aprili mwaka jana 2015.
-
Ubelgiji yaitaka serikali ya Burundi izungumze na wapinzani
Mar 12, 2016 11:56Serikali ya Ubelgiji imeitaka serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi iandae mazingire ya kufanyika mazungumzo kati yake na wapinzani na kusisitiza kuwa udharura wa kufanyika mazungumzo hayo hivi sasa ni mkubwa zaidi kuliko wakati mwingine wowote.
-
Polisi ya Burundi yamtia mbaroni kiongozi wa upinzani
Mar 11, 2016 12:55Polisi nchini Burundi imetangaza kuwa, imemtia mbaroni kiongozi mmoja wa chama cha upinzani.
-
Wataalamu wa UN watiwa wasi wasi na uvunjwaji mkubwa wa haki za binadamu Burundi
Mar 10, 2016 13:11Wataalamu wa kujitegemea wa Umoja wa Mataifa, wameielezea hali ya haki za binadamu nchini Burundi kuwa ya kutia wasi wasi mkubwa.
-
Kuendelea mgogoro wa Burundi licha juhudi za kisiasa
Mar 06, 2016 21:49Katika hali ambayo Umoja wa Afrika umeimarisha kamati ya usuluhishi nchini Burundi kwa minajili ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo, bado machafuko yanatajwa kuendelea katika nchi hiyo mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
-
UN: Maelfu ta Warundi wamekimbilia nchi jirani
Mar 05, 2016 23:09Kamishna Mkuu wa Wakimbizi wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa maelfu ya Warundi wamekimbilia katika nchi jirani.
-
EAC yapata Katibu Mkuu mpya
Mar 02, 2016 23:38Mwanadiplomasia wa Burundi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Viongozi wa nchi 5 za jumuiya hiyo mbali na kuidhinisha uanachama wa Sudan Kusini pia wamemteua Liberat Mfumukeko kuchukua nafasi ya Dkt. Richard Sezibera ambaye anamaliza muda wake.
-
AU yataka kuhitimishwa haraka mgogoro wa Burundi
Mar 01, 2016 12:15Viongozi wa Umoja wa Afrika waliozuru Burundi hivi karibuni, wametaka yafanyike mazungumzo ya haraka kati ya serikali na wapinzani, kwa lengo la kuhitimisha mgogoro wa nchi hiyo.