-
Asasi za kiraia: Mzozo wa Burundi upewe kipaumbele katika mkutano wa EAC
Mar 01, 2016 04:28Huku marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC wakitazamiwa kukutana mjini Arusha Tanzania kesho Jumatano, mashirika ya kijamii na asasi za kiraia zipatazo 17 za kanda hiyo zimetoa wito wa kupewa kipaumbele mgogoro wa kisiasa wa Burundi katika mkutano huo.
-
Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba
Feb 27, 2016 22:59Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki watakutana Arusha, Tanzania Jumatano ijayo kujadili upigaji marufuku uingizaji wa nguo zilizotumika au mitumba, magari yaliyotumika na bidhaa za ngozi kutoka nje ya eneo eneo hilo.
-
Ujumbe wa AU wakamilisha safari yake Burundi
Feb 27, 2016 13:20Ujumbe wa Umoja wa Afrika uliokuwa umetumwa nchini Burundi kutafuta suluhisho la mgogoro wa nchi hiyo umekamilisha safari yake nchini humo baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Pierre Nkurunziza.
-
Ujumbe wa AU wawasili Burundi baada ya kuondoka Ban Ki-Moon
Feb 25, 2016 12:59Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini anaongoza ujumbe wa marais wanne wa Umoja wa Afrika ambao umewasili nchini Burundi leo Alkhamisi kwa lengo la kufanya mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mzozo wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo tangu mwezi Aprili mwaka jana.
-
Ujumbe wa AU wawasili Burundi baada ya kuondoka Ban Ki-Moon
Feb 25, 2016 11:59Rais Macky Sall wa Senegal anaongoza ujumbe wa marais wanne wa Umoja wa Afrika ambao umewasili nchini Burundi leo Alkhamisi kwa lengo la kufanya mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mzozo wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo tangu mwezi Aprili mwaka jana.
-
Ziara ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi
Feb 24, 2016 07:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliwasili nchini Burundi wiki hii katika juhudi za kuutafutia suluhisho mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Serikali ya Burundi yakubali pendekezo la kuzungumza na wapinzani
Feb 23, 2016 10:16Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuwa serikali ya Burundi imekubaliana na pendekezo la kufanya mazungumzo na wapinzani. Ban Ki-moon ameyasema hayo leo huko Bujumbura, mji mkuu wa Burundi na kuongeza kuwa, serikali ya nchi hiyo imeahidi pia kuanzisha mazungumzo ya kina na ya pamoja na wapinzani wake.
-
Ban Ki-Moon awasili Burundi, kukutana na Nkurunziza
Feb 23, 2016 04:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili nchini Burundi katika kile kinachoonekana ni kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Mlipuko wa Bomu waua watu Bujumbura, Burundi
Feb 22, 2016 13:06Mlipuko uliotokea mapema leo mjini Bujumbura umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.
-
Burundi yasema haitawakamata baadhi ya wapinzani
Feb 20, 2016 23:18Idara ya Mkuu wa Mashtaka wa Burundi imetangaza kuwa imefuta waranti wa kutiwa nguvuni idadi kadhaa ya watu wanaofuatiliwa kisheria.