-
Qassemi alaani shambulio la kigaidi katika kituo cha Kiislamu Canada
Jan 31, 2017 04:09Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililofanywa dhidi ya kituo cha Kiislamu huko Quebec nchini Canada.
-
Kuongezeka chuki dhidi ya Waislamu Amerika Kaskazini
Jan 31, 2017 04:09Baada ya kuongezeka hisia za chuki na uadui dhidi ya Waislamu huko Amerika Kaskazini hususan baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump nchini Marekani, hivi sasa matokeo mabaya ya jambo hilo yameanza kuonekana.
-
5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada
Jan 30, 2017 07:38Kwa akali watu watano wameuawa katika hujuma ya kikatili dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada usiku wa kuamkia leo.
-
Msomaji habari wa kwanza mwenye kuvaa Hijabu awavutia wengi Canada
Nov 26, 2016 16:48Mwandishi habari wa kwanza wa kike kusoma habari akiwa amevaa vazi la Kiislamu la Hijabu nchini Canada amewavutia watu wengi nchini humo.
-
Polisi ya Canada yaahidi kushirikiana zaidi na Waislamu
Oct 30, 2016 03:55Jeshi la polisi la mjini Toronto Canada limeteua afisa maalumu wa masuala ya kidini kwa ajili ya kuwasaidia na kuwaunga mkono kimaanawi maafisa wa polisi Waislamu na kuwa kiungo baina ya polisi na Waislamu wa nchi hiyo.
-
Huffington Post: Idadi ya wanawake wakazi asili wa Canada waliouawa ni kubwa zaidi
Feb 19, 2016 03:39Gazeti la Marekani la The Huffington Post limeripoti kuwa idadi ya wanawake asilia wa Canada waliouawa au kutoweka ni kubwa zaidi ya takwimu zilizokadiriwa hapo awali.