Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Canada

  • Iran yatangaza vikwazo dhidi ya shakhsia na taasisi ya Canada

    Iran yatangaza vikwazo dhidi ya shakhsia na taasisi ya Canada

    Nov 03, 2022 11:49

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa imeyaweka majina ya shakhsia na taasisi ya Canada kwenye orodha yake ya vikwazo, kwa kuunga mkono ugaidi.

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Dunia haijasahau kashfa ya makaburi ya halaiki nchini Canada

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Dunia haijasahau kashfa ya makaburi ya halaiki nchini Canada

    Oct 06, 2022 13:45

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema: Ulimwengu bado haujasahau kashfa ya kugunduliwa kwa makaburi ya halaiki ya mamia ya watoto katika viwanja vya shule za wamishonari yapata mwaka mmoja uliopita.

  • Wacanada hawataki kuendelea kuwa kwenye makucha ya ufalme wa Uingereza

    Wacanada hawataki kuendelea kuwa kwenye makucha ya ufalme wa Uingereza

    Sep 15, 2022 03:17

    Matokeo ya uchunguzi wa hivi karibuni wa maoni yanaonesha kuwa, idadi kubwa ya wananchi wa Canada hawataki kuendelea kuwa chini ya makucha ya mfalme wao ajinabi, yaani Uingereza.

  • Alkhamisi tarehe 8 Septemba 2022

    Alkhamisi tarehe 8 Septemba 2022

    Sep 08, 2022 02:04

    Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Safar 1444 Hijria imayosadifiana na tarehe 8 Septemba 2022.

  • Utumiaji mabavu na mauaji vyaongezeka Canada

    Utumiaji mabavu na mauaji vyaongezeka Canada

    Sep 07, 2022 08:07

    Licha ya serikali ya Canada kufanya jitihada za kupunguza machafuko na utumiaji mabavu nchini, nchi hiyo katika miezi ya karibuni imekumbwa na jinai na vitendo vingi vinavyohusiana na utumiaji wa silaha baridi na moto.

  • Onyo la China kwa Canada kuhusu safari ya wabunge wake Taiwan

    Onyo la China kwa Canada kuhusu safari ya wabunge wake Taiwan

    Aug 26, 2022 02:25

    China imeionya vikali Canada na kusisitiza kuwa itachukua hatua madhubuti na za nguvu iwapo wabunge wa Canada watafanya safari ya kuitembelea Taiwan karibuni hivi.

  • Hujuma za chuki dhidi ya Waislamu Canada zaongezeka kwa 71%

    Hujuma za chuki dhidi ya Waislamu Canada zaongezeka kwa 71%

    Aug 05, 2022 10:52

    Jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu zimeongezeka kwa kiwango cha kutisha nchini Canada.

  • Papa akiri, kulifanyika mauaji ya kimbari ya watoto wa wakazi asili wa Canada

    Papa akiri, kulifanyika mauaji ya kimbari ya watoto wa wakazi asili wa Canada

    Jul 30, 2022 10:39

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, ameyataja mauaji ya watoto wa wakazi asili nchini Canada kuwa ni "mauaji ya kimbari".

  • Kanisa Katoliki laomba msamaha kuhusu mauaji ya Kimbari ya Wacanada asilia

    Kanisa Katoliki laomba msamaha kuhusu mauaji ya Kimbari ya Wacanada asilia

    Jul 27, 2022 06:14

    Hatimaye, baada ya kusubiri kwa muda mrefu, Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki, amekwenda Canada na kuomba msamaha kwa wenyeji asilia wa nchi hiyo kutokana na kuhusika kanisa hilo katika moja ya jinai na maafa mabaya zaidi ya kibinadamu nchini humo.

  • Papa aenda Canada kuomba radhi kutokana na jinai za Katoliki

    Papa aenda Canada kuomba radhi kutokana na jinai za Katoliki

    Jul 23, 2022 11:22

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis anatazamiwa kuizuru Canada kesho Jumapili kwenda kuomba radhi kwa wenyeji asilia wa nchi hiyo, kwa dhulma zilizofanyika katika shule za bweni za Wamishonari wa kanisa hilo dhidi ya wenyeji hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS