-
Ijumaa tarehe Mosi Julai 2022
Jul 01, 2022 01:01Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Dhulqaada 1443 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2022.
-
Watoto 500 Waamerika asili walipoteza maisha katika shule za bweni za kanisa Marekani
May 12, 2022 11:08Ripoti mpya imefichua kuhusu vifo zaidi ya 500 katika shule za bweni za kanisa ambazo kwa zaidi ya karne moja zilijaribu kuwaingiza watoto wa jamii za asili za Amerika katika jamii ya wakoloni wazungu.
-
Waislamu 5 wajeruhiwa kwa kupigwa risasi msikitini nchini Canada
Apr 17, 2022 07:59Watu watano wamejeruhiwa baada ya kushambuliwa kwa risasi na wahalifu wasiojulikana nchini Canada, huku vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vikionekana kushtadi nchini humo.
-
Ombi la wakazi asilia wa Canada kwa Papa Francis
Mar 29, 2022 07:11Wenyeji wa Canada walionusurika na mauaji ya shule za bweni za Kanisa Katoliki Jumatatu ya jana walimtaka Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani na mkuu wa Vatican, awezeshwe kupata kuona nyaraka zinazohusiana na jinai hiyo ya mauaji ya kimbari yaiiyolenga maelfu ya watoto wa Wahindu Wekundu na wakazi asilia wa Canada.
-
Iran yakosoa azimio la haki za binadamu lililoungwa mkono na Canada
Dec 18, 2021 13:09Afisa wa ngazi za juu wa Idara ya Mahakama ya Iran amekosoa azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambalo lilipitishwa hivi karibuni kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran na kusema, azimio hilo ambalo limeungwa mkono na Canada, ni la kisiasa, na halijazingatia uhalisia wa mambo.
-
Khatibzadeh: Azimio kuhusu hali ya haki za binadamu Iran halina hadhi ya kisheria
Nov 18, 2021 07:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, azimio lililopendekezwa na Canada na kuungwa mkono na baadhi ya nchi za Magharibi kuhusu hali ya haki za binadamu katika Jamhuri ya Kiislamu halina hadhi ya kisheria na kimsingi halikubaliki.
-
Dalali wa silaha za magaidi nchini Syria afilisika, Canada yampa kinga ya ukimbizi
Oct 25, 2021 02:32Mmoja wa madalali aliyekuwa akiyauzia silaha magenge ya kigaidi nchini Syria likiwemo la Daesh (ISIS) amefilisika vibaya kiasi kwamba Canada imempa kinga ya ukimbizi nchini humo.
-
Canada kuwanyima mishahara wafanyakazi wanaokwepa chanjo ya UVIKO-19
Oct 07, 2021 11:51Serikali ya Canada imeanzisha sheria mpya kali za kupambana na watu wanaofanya ukaidi wa kudunga chanjo za UVIKO-19 ambazo zitawaathiri watu wengi.
-
Serikali ya Canada yahukumiwa kuwalipa fidia wakazi asili wa nchi hiyo
Oct 01, 2021 05:11Mahakama ya Haki za Binadamu ya Canada ambayo mwaka 2016 iliituhumu serikali ya nchi kuwa imefanya ubaguzi wa kimbari, kutumia mabavu na kuua Wahindi Wekundu wenyeji wa nchi hiyo imeitaka serikali ya Ottawa kuwalipa fidia Wahindi Wekundu kwa kupatikana na hatia ya kukiuka haki zao za kibinadamu
-
Jumatano tarehe 8 Septemba 2021
Sep 08, 2021 02:40Leo ni Jumatano tarehe Mosi Safar 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Septemba 2021.