-
Araghchi: Mashauriano ya Beijing yamefanikiwa; Iran yathamini “ushirikiano wa kimkakati” na China
Sep 17, 2026 12:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameelezea mashauriano yake mjini Beijing kama “yaliyofanikiwa,” akizungumzia maudhui ya safari yake katika mji mkuu huo wa China, ambapo alikutana na mwenzake, Wang Yi.
-
China yatoa onyo kwa Japan, yakosoa mazoezi ya pamoja ya kijeshi inayofanya kila mara na Marekani
Sep 15, 2026 10:36China imekosoa hatua ya Japan ya kutangulia kupanga silaha za kimkakati za ushambuliaji na vilevile kwa mazoezi ya kijeshi inayoendelea kufanya kila mara kwa kushirikiana na Marekani na Australia, ikisema, vitendo hivyo vinaongeza hatari ya makabiliano katika eneo hilo.
-
China yapinga vitisho vya Marekani na vikwazo haramu dhidi ya nchi zinazofanya biashara na Iran
Aug 26, 2026 03:27China imepinga vitisho vya Marekani vya kuziwekea vikwazo nchi zinazofanya biashara na Iran, ikisema kuwa ushirikiano wa Beijing na Tehran unafanyika kwa mujibu wa sheria za kimataifa na haupaswi kuvurugwa.
-
Jumatatu, 10 Agosti 2026
Aug 10, 2026 03:24Leo ni Jumatatu 26 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka 10 Agosti 2026.
-
Jumamosi, 25 Julai, 2026
Jul 25, 2026 03:17Leo ni Jumamosi 10 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 25 Julai 2026 Miladia.
-
Jumanne tarehe 21 Julai, 2026
Jul 22, 2026 02:45Leo ni Jumanne tarehe 6 Safar 1448 Hijria inayosadifiana na tarehe 21 Julai 2026
-
Jumapili, 19 Julai, 2026
Jul 19, 2026 03:48Leo ni Jumapili 4 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 19 Julai 2026 Miladia.
-
Alkhamisi, tarehe 04 Juni, 2026
Jun 04, 2026 07:41Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe 04 Juni 2026.
-
Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili
May 20, 2026 02:57Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.
-
Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu
May 16, 2026 11:59Chuck Schumer, Kiongozi wa Wachache katika Seneti ya Marekani, amesema kwamba safari ya Rais Donald Trump nchini China haikuwa na mafanikio yoyote kwa watu wa Marekani na ilikuwa fedheha kamili.