-
Kuendelea mivutano kati ya China na Marekani
Mar 29, 2021 22:00Licha ya kuwepo utabiri wa awali kwamba mivutano iliyokuwepo kati ya China na nchi za Magharibi na hasa Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump ingepungua pakubwa mara tu baada ya kuoondoka madarakani rais huyo na kuingia White House Joe Biden, lakini mivutano hiyo ingalipo bali imeongezeka hata zaidi.
-
Ali Shamkhani: Ushirikiano wa kistratejia Mashariki unaharakisha kusambaratika Marekani
Mar 29, 2021 03:45Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, ushirikiano wa kistratejia wa Mashariki utaharakisha kusambaratika Marekani.
-
Baada ya China kuiwekea vikwazo UK, sasa London yalalamika
Mar 26, 2021 22:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amelalamikia vikali vikwazo vilivyowekwa na China dhidi ya nchi yake.
-
Sisitizo la Russia na China juu ya kurejea bila masharti Marekani katika mapatano ya JCPOA
Mar 24, 2021 07:51Wang Yi na Sergei Lavrov, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa China na Russia Jumatatu wiki hii tarehe 22 Machi walisiistiza udharura wa kurejea Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya masharti yoyote na kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran.
-
Lavrov asisitiza kuondolewa sarafu ya dola katika mzunguko wa mfumo wa fedha
Mar 22, 2021 03:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza utumiaji wa sarafu nyinginezo badala ya dola katika mabadilishano ya kibiashara.
-
Kikao cha Alaska na kukaririwa tuhuma za Marekani dhidi ya China
Mar 20, 2021 23:49Kushadidi mpambano baina ya Marekani na China tangu baada ya Joe Biden kushika hatamu za uongozi kumezifanya pande hizo mbili kuitisha kikao cha ngazi za juu ambacho kilifanyika Alkhamisi iliyopita katika eneo la Anchorage kwenye jimbo la Alaska.
-
Marekani; tishio kubwa zaidi kwa China
Mar 08, 2021 06:28Huku vita vya maneno vikizidi kuongezeka kati ya viongozi wa China na Marekani, mara hii Rais Xi Jinping wa China amesema kuwa Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa usalama wa nchi yake.
-
Wasomi 26 wataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona
Mar 05, 2021 04:18Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limetangaza kuwa, wasomi 26 wameandika barua ya wazi wakitaka kufanyike uchunguzi mpya wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona.
-
Rais Xi: Marekani ndilo tishio kuu kwa ustawi na usalama wa China
Mar 04, 2021 23:01Rais Xi Jinping wa China amesema Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa maendeleo na usalama wa nchi hiyo ya Asia.
-
Iran yapokea dozi robo milioni za chanjo ya Corona kutoka China
Feb 28, 2021 09:51Shehena ya kwanza ya dozi za chanjo ya kubaliana na ugonjwa wa Covid-19 kutoka China imewasili hapa nchini Iran leo Jumapili.