-
Wasomi 26 wataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona
Mar 05, 2021 04:18Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limetangaza kuwa, wasomi 26 wameandika barua ya wazi wakitaka kufanyike uchunguzi mpya wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona.
-
Rais Xi: Marekani ndilo tishio kuu kwa ustawi na usalama wa China
Mar 04, 2021 23:01Rais Xi Jinping wa China amesema Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa maendeleo na usalama wa nchi hiyo ya Asia.
-
Iran yapokea dozi robo milioni za chanjo ya Corona kutoka China
Feb 28, 2021 09:51Shehena ya kwanza ya dozi za chanjo ya kubaliana na ugonjwa wa Covid-19 kutoka China imewasili hapa nchini Iran leo Jumapili.
-
Zarif: Matukio ya kimataifa hayaathiri uhusiano wa kistratijia wa Iran-China
Feb 16, 2021 22:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amepongeza 'ushirika wa kistratijia' wa Iran na China na kuongeza kuwa, matukio ya kimataifa hayawezi kuathiri urafiki baina ya washirika hawa wawili.
-
China yatoa onyo kali: Taiwan kuwa nchi huru maana yake ni "kutangaza vita"
Jan 29, 2021 09:30China imetumia lugha kali zaidi katika kuamiliana na Taiwan kwa kuonya kuwa, kisiwa hicho kujitangazia uhuru ni sawa na kutangaza vita na kwamba vikosi vya jeshi la nchi hiyo vimesha jiweka tayari kuchukua hatua dhidi ya uchochezi na uingiliaji wa kigeni.
-
China yamwekea vikwazo Pompeo na maafisa wenzake 27 kwa 'uongo na udanganyifu'
Jan 21, 2021 03:33Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetangaza kuwa imemwekea vikwazo Mike Pompeo, waziri wa mambo ya nje wa serikali ya Marekani iliyomaliza muda wake ya Donald Trump pamoja na maafisa wengine 27 wa serikali hiyo kwa sababu ya kile ilichokiita hatua za kiwendawazimu zilizoingilia vibaya sana masuala ya ndani ya China.
-
Jibu la Beijing kuhusu madai kwamba China inaunga mkono mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan
Jan 02, 2021 23:20China imeyataja madai kwamba inalifadhili kifedha kundi la wanamgambo wa Taliban ili lifanye mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan kuwa ni ya uwongo.
-
China: Chanzo cha matatizo ni Marekani kujitoa JCPOA na kuanzisha mashinikizo ya juu kabisa
Dec 22, 2020 09:19China imesisitiza kuwa, kurudi Marekani kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuanza tena kutekeleza majukumu yake ndio njia sahihi na ya kimantiki ya kupunguza mivutano.
-
Chombo cha China kilichofika mwezini charejea duniani
Dec 17, 2020 08:19Chombo cha anga za mbali cha China kinachojulikana kama Chang’e -5 kilichorushwa kwenda kwenye mwezi, mapema leo kimetua duniani kikiwa na sampuli za kwanza zilizokusanywa kutoka kwenye mwezi, ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha 40.
-
China yatoa onyo tena kwa Marekani kuhusiana na Taiwan
Nov 25, 2020 04:22Kwa mara nyingine China imeionya Marekani kuhusiana na safari zinazofanywa na maafisa wa nchi hiyo katika kisiwa cha Taiwan.