-
Makabiliano ya Marekani na China Mashariki mwa Asia
Sep 05, 2020 06:38Waziri wa Mambo ya Nje wa China amewatolea wito wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) kuendelea kupinga uingiliaji wa Marekani katika eneo hilo.
-
Russia na China zapongeza kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA
Sep 02, 2020 03:31Russia na China zimepongeza mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA uliofanyika jana Jumanne huko Vienna, mji mkuu wa Austria.
-
China yaonya: Ikilazimu, tutaingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani
Aug 29, 2020 19:31Jeshi la China limetahadharisha kuwa, huenda litalazimika kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani pasi na kukusudia iwapo Washington haitasitisha operesheni zake za kichokozi katika Bahari ya Kusini ya China.
-
Kuumbuka tena Marekani kwa kukataliwa takwa lake la kutekeleza "Snapback Mechanism" na Rais wa Baraza la Usalama la UN
Aug 26, 2020 08:18Baada ya Marekani kugonga mwamba kwa kushindwa kufanikisha njama yake ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kupitia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, iliamua kuwasilisha shtaka jengine dhidi ya Tehran kwa kisingizio kuwa eti imekiuka msingi wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwa hivyo ikataka utekelezwe Utaratibu wa Kurejesha Vikwazo Papo kwa Papo, unaojulikana kitaalamu kama 'Snapback Mechanism';
-
Kampuni ya TikTok ya China kumshtaki Rais Trump wa Marekani
Aug 25, 2020 22:18Kampuni ya TikTok ya China imefungua kesi ya kupinga amri ya Rais Donal Trump wa Marekani inayozuia shughuli zozote za kampuni mama ya kampuni ,ByteDance, kuendesha shughuli zake nchini Marekani.
-
Wanasayansi nchini China wagundua mbinu inayoweza kutumiwa kuangamiza nzige
Aug 18, 2020 21:56Wanasayansi nchini China wamegundua mada zenye harufu ambazo hutolewa na nzige na kusababisha wajikusanye kwenye makundi.
-
Vita vya biashara kati ya China na Marekani
Aug 16, 2020 05:24Beijing na Washington leo zinatarajiwa kubadilishana mawazo na kutathmini sehemu ya kwanza ya mapatano yao ya kibiashara.
-
Modi azionya China na Pakistan, asema Pakistan ni adui wa kudumu wa India
Aug 15, 2020 21:47Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amezitahadharisha China na Pakistan na kile alichokiita matokeo mabaya ya hatua zao za kuanzisha chokochoko dhidi ya nchi yake.
-
Juhudi za Pempeo kuiarifisha China kama tishio kwa nchi za Ulaya
Aug 13, 2020 22:21Tokea aingie madarakani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitekeleza siasa kali na za uhasama dhidi ya China ambapo amekuwa akiendesha vita vya kisiasa, kibiashara na kiusalama dhidi ya nchi hiyo muhimu ya Asia.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani yuko katika duru nyingine ya safari barani Ulaya
Aug 13, 2020 02:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo ameanza duru mpya ya safari barani Ulaya baada ya safari nyingine wiki tatu zilizopita. Mara hii Pompeo anatembelea nchi nne za Ulaya ya Kati na Mashariki.