Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran

    China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran

    Jun 19, 2019 21:52

    China imeionya vikali Marekani kuhusu taathira hasi ya kutangaza kuwa itatuma wanajeshi 1,000 wa ziada katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati); huku ikiitaka Washington ikomeshe mashinikizo yake ya kuchupa mipaka dhidi ya Tehran.

  • Viongozi wa Russia na China wasisitiza kuendelea kuheshimiwa mapatano ya JCPOA, walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Viongozi wa Russia na China wasisitiza kuendelea kuheshimiwa mapatano ya JCPOA, walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 06, 2019 22:39

    Russia na China zikiwa nchi mbili muhimu wanachama wa kundi la 4+1 daima zimekuwa zikisisitiza udharura wa kulindwa mapatano ya kimataifa ya JCPOA na wakati huohuo kupinga vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Russia na China zalaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran

    Russia na China zalaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 06, 2019 03:19

    Marais wa Russia na China sanjari na kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran, lakini pia wamezitaka pande husika kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna yanayojulikana kama JCPOA.

  • China yapuuzilia mbali vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    China yapuuzilia mbali vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 01, 2019 03:21

    Serikali ya China imepuuzilia mbali vikwazo vya mafuta vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Tehran na imeanza kuagiza shehena ya mafuta yake kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • China yaionya Marekani kuhusu kucheza na moto kwa kuiunga mkonoTaiwan

    China yaionya Marekani kuhusu kucheza na moto kwa kuiunga mkonoTaiwan

    May 31, 2019 23:06

    China imesema Marekani ‘inacheza na moto’ kutokana na msururu wa hatua ambazo imezichukua katika Lango Bahari la Taiwan katika kuunga mkono jitihada za kujitenga kikamilifu kisiwa hicho.

  •  China yaituhumu Marekani kuwa inatekeleza  'Ugaidi wa Kiuchumi'

    China yaituhumu Marekani kuwa inatekeleza 'Ugaidi wa Kiuchumi'

    May 30, 2019 07:10

    China imeituhumu Marekani kuwa inachochea kwa makusudi mizozo ya kibiashara ambayo ni sawa na 'ugaidi wa wazi wa kiuchumi.'

  • China na Russia kususia mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina, Bahrain

    China na Russia kususia mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina, Bahrain

    May 29, 2019 03:30

    Serikali za China na Russia zimetangaza kuwa hazitashiriki mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain.

  • Meli za kivita za Marekani zafika mipaka ya China, hali ya taharuki yaendelea

    Meli za kivita za Marekani zafika mipaka ya China, hali ya taharuki yaendelea

    May 20, 2019 06:12

    Jeshi la Marekani limetuma meli zake za kivita ambazo zimefika karibu na visiwa vya China katika Bahari ya Kusini ya China katika hatua ambayo imewakasirisha wakuu wa Beijing na hivyo kupelekea hali ya taharuki kuendelea baina ya nchi hizo mbili ambazo tayari ziko katika vita vya kibiashara.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini China; mazungumzo ya kisiasa na kiuchumi

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini China; mazungumzo ya kisiasa na kiuchumi

    May 18, 2019 02:55

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif katika bara Asia iliendelea kwa kuutembelea mji mkuu wa China na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo na hivyo kufungua ukurasa mpya wa udiplimasia wa kieneo wa Iran.

  • Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na China

    Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na China

    May 17, 2019 08:59

    Waziri wa Mashauri ya Kiigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye leo aliwasili Beijingi mji mkuu wa China amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Wang Yi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS