Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Marekani yaamua kurudi nyuma katika vita vya biashara ilivyovianzisha dhidi ya China

    Marekani yaamua kurudi nyuma katika vita vya biashara ilivyovianzisha dhidi ya China

    May 21, 2018 09:42

    Waziri wa Fedha wa Marekani ameelezea kusimama vita vya kibiashara kati ya nchi yake na China sambamba na kukubali kupunguza mizozo ya kibiashara baina nchi hizo.

  • Kenya yajiunga na Benki ya Uwekezaji wa Miundombinu ya Asia AIIB

    Kenya yajiunga na Benki ya Uwekezaji wa Miundombinu ya Asia AIIB

    May 04, 2018 23:34

    Kenya imejiunga na na Benki ya Uwekezaji wa Miundombinu ya Asia AIIB ikiwa ni katika jitihada za nchi hiyo kutafuta fursa mpya za kuijiimarisha kiuchumi.

  • China: Pande zote zinapaswa kuheshimu mapatano ya JCPOA

    China: Pande zote zinapaswa kuheshimu mapatano ya JCPOA

    May 02, 2018 21:17

    China imesisitizia umuhimu wa pande zote husika kuendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.

  • Jumanne,  Aprili 24, 2018

    Jumanne, Aprili 24, 2018

    Apr 23, 2018 22:43

    Leo ni Jumanne tarehe 7 Shaaban mwaka 1439 Hijria inayosadifiana na tarehe 24 April, mwaka 2018.

  • Kuimarika uhusiano wa Zimbabwe na China

    Kuimarika uhusiano wa Zimbabwe na China

    Apr 04, 2018 21:09

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amemshukuru rais mwenzake wa China Xi Jinping kwa uungaji mkono wa kisiasa wa nchi hiyo kwa Zimbabwe na kutaka kuimarishwa zaidi uhusiano wa pande mbili.

  • China yajibu mapigo katika vita vya biashara; yapandisha ushuru kwa bidhaa 128 za Marekani

    China yajibu mapigo katika vita vya biashara; yapandisha ushuru kwa bidhaa 128 za Marekani

    Apr 02, 2018 00:03

    Serikali ya China imeweka viwango vipya vya ushuru wa forodha vya hadi asilimia 25 kwa bidhaa 128 za Marekani zinazoingizwa nchini humo zikiwemo za nyama ya barafu ya nguruwe, mvinyo na baadhi ya matunda ikiwa ni kujibu mapigo kwa kiwango cha juu cha ushuru kilichowekwa na Washington kwa bidhaa za feleji na aluminiamu zinazoingizwa nchini humo kutoka China.

  • Wizara ya Ulinzi ya China yaionya Marekani, yasema kamwe Beijing haitopuuza maslahi yake

    Wizara ya Ulinzi ya China yaionya Marekani, yasema kamwe Beijing haitopuuza maslahi yake

    Mar 30, 2018 23:36

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya China amesema kuwa nchi hiyo kamwe haitojisalimisha mbele ya ubeberu wa Marekani katika Bahari ya China Kusini, kama ambavyo pia haitoiruhusu Washington kuyatia hatarini maslahi yake katika eneo hilo.

  • Guterres: Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia kunakumbusha kipindi cha Vita Baridi

    Guterres: Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia kunakumbusha kipindi cha Vita Baridi

    Mar 29, 2018 22:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusiana na hatua ya baadhi ya nchi za Magharibi ya kuwafukuza wanadiplomasia wa Russia na kusema hali hiyo inakumbusha kipindi cha Vita Baridi.

  • Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Mar 29, 2018 05:03

    Kwa mara ya kwanza tangu ingie madarakani Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing ambapo pande mbili zimezungumzia masuala ya uhusiano wa nchi mbili na kadhalika mabadiliko ya eneo la Korea.

  • Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Mar 29, 2018 02:32

    Kwa mara ya kwanza tangu ingie madarakani Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing ambapo pande mbili zimezungumzia masuala ya uhusiano wa nchi mbili na kadhalika mabadiliko ya eneo la Korea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS