Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • Vienna, Austria yageuzwa uwanja wa maandamano ya kupinga karantini na chanjo ya lazima ya corona

    Vienna, Austria yageuzwa uwanja wa maandamano ya kupinga karantini na chanjo ya lazima ya corona

    Nov 20, 2021 13:57

    Mji mkuu wa Austria, Vienna leo umegeuzwa uwanja wa maandamano ya kupinga uwekaji karantini kwa sababu ya ugonjwa wa Covid-19 na upigaji chanjo ya lazima ya ugonjwa huo.

  • WHO: Kesi za Corona zinapungua kila sehemu isipokuwa Ulaya

    WHO: Kesi za Corona zinapungua kila sehemu isipokuwa Ulaya

    Nov 10, 2021 14:23

    Shirika la Afya Dunia (WHO) limeripoti kuwa, vifo vya ugonjwa wa COVID-19 vimeongezeka kwa asilimia 10 barani Ulaya katika kipindi cha wiki moja iliyopita, na kulifanya bara hilo kuwa eneo pekee duniani ambako vifo na maambukizi ya Corona yameongezeka kwa kiwango cha kutisha.

  • Iran imejitosheleza kuzalisha dawa za kukabiliana na COVID-19

    Iran imejitosheleza kuzalisha dawa za kukabiliana na COVID-19

    Nov 09, 2021 02:29

    Waziri wa Afya wa Iran amesema nchi hii sasa imejitosheleza kikamilifu katika kuzalisha dawa za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19.

  • Pfizer: Dawa yetu ya kutibu Corona inapunguza hatari ya kifo kwa 89%

    Pfizer: Dawa yetu ya kutibu Corona inapunguza hatari ya kifo kwa 89%

    Nov 06, 2021 03:24

    Shirika la kuzalisha dawa la Kimarekani la Pfizer limedai kuwa, kidonge kilichozalishwa na kampnu hiyo cha kutibu ugonjwa wa COVID-19 kina uwezo kupunguza hatari ya kulazwa hospitalini au hata kuaga dunia mgonjwa wa Corona kwa asilimia karibu 90.

  • Wanasheria Morocco wapinga chanjo ya lazima ya Covid-19

    Wanasheria Morocco wapinga chanjo ya lazima ya Covid-19

    Oct 24, 2021 15:13

    Muungano wa Mawakili nchini Morocco umepinga hatua ya serikali ya kuwalazimisha wananchi kupiga chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19.

  • Watumishi wa umma ambao hawajachanja Zimbabwe kutoruhusiwa kazini

    Watumishi wa umma ambao hawajachanja Zimbabwe kutoruhusiwa kazini

    Oct 16, 2021 02:32

    Kuanzia Jumatatu ijayo, wafanyakazi wa serikali na watumishi wote wa umma ambao hawajapiga chanjo ya kukijikinga na ugonjwa wa COVID-19 hawataruhusiwa kuingia kazini nchini Zimbabwe.

  • Kesi za Corona barani Afrika zapungua kwa asilimia 13

    Kesi za Corona barani Afrika zapungua kwa asilimia 13

    Oct 08, 2021 00:49

    Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimesema bara la Afrika limeshuhudia kupungua kwa maambukizo ya ugonjwa wa COVID-19 katika kipindi cha wiki moja.

  • Kesi za Corona barani Afrika zapindukia milioni 8 na laki 3

    Kesi za Corona barani Afrika zapindukia milioni 8 na laki 3

    Oct 05, 2021 08:04

    Kesi zilizothibitishwa za maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 katika nchi 55 za Kiafrika hadi kufikia jana Jumatatu zimepindukia watu milioni nane na laki tatu.

  • Wasiopiga chanjo wavunjisha tena rekodi ya vifo vya corona Marekani

    Wasiopiga chanjo wavunjisha tena rekodi ya vifo vya corona Marekani

    Sep 30, 2021 06:27

    Idadi ya watu wanaokufa kutokana na corona nchini Marekani imekuwa ikiongezeka kila siku katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.

  • WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya maambukizi ya kirusi cha corona Afrika

    WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya maambukizi ya kirusi cha corona Afrika

    Sep 24, 2021 11:38

    Wanasayansi na wasomi kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) wametahadharisha kuhusu mambukizo mapya ya kirusi cha corona katika miezi ya mwisho ya mwaka huu barani Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS