-
Polisi wanne wa Misri wauawa katika shambulizi la Daesh eneo la Sinai
Aug 10, 2017 10:12Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daeh (ISIS) limekiri kutekeleza shambulizi dhidi ya gari la polisi ya Misri na kuua maafisa wanne wa usalama katika eneo la Sinai.
-
Kissinger: Kuwepo Daesh (ISIS) ni muhimu kwa ajili ya kuidhibiti Iran
Aug 09, 2017 23:14Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani Henry Kissinger ameonya kuwa serikali ya Washington itafanya makosa kuliangamiza kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) kwa sababu kuwepo kwake ni muhimu kwa ajili ya kuidhibiti Iran.
-
Iran yawatia mbaroni makumi ya magaidi wa Daesh/ISIS
Aug 08, 2017 03:21Vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimewakamata wanachama 27 wenye mfungamano na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) waliokuwa wanapanga njama ya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi nchini.
-
Ndege za kivita za Marekani zauwa raia 18 Syria
Aug 04, 2017 03:40Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani kwa mara nyingine tena zimeua raia 18 katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria.
-
UN yaipongeza al Hashdu sh-Sha'abi kwa mapambano yake dhidi ya Daesh
Aug 01, 2017 22:21Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Iraq amepongeza nafasi ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi katika kufanikisha ukombozi wa miji mbalimbali ya Iraq na kulinda maisha ya raia katika vita dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.
-
Mke wa mufti wa Daesh Tal Afar ajiua na watoto wake watatu
Jul 31, 2017 11:06Duru za kuaminika nchini Iraq zimeripoti kuwa, mke wa mufti wa kundi la Daesh amejiua yeye na watoto wake watatu katika mji wa Tel Afar huko kaskazini mwa Iraq.
-
Jumatatu tarehe 31 Julai, 2017
Jul 30, 2017 23:56Leo ni Jumatatu tarehe 7 Dhulqaada 1438 Hijria sawa na Julai 31, 2017.
-
Waingereza 150 wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wavuliwa uraia
Jul 30, 2017 10:43Serikali ya Uingereza imewavua uraia zaidi ya raia wake 150 kwa tuhuma za kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).
-
Raia 29 wauawa katika jinai mpya za muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria
Jul 27, 2017 03:34Raia 29 wa Syria jana waliuawa katika mashambulizi ya ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa wa kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani. Mashambulizi hayo yalifanywa katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria.
-
Magaidi Madaesh 87 wahojiwa Iraq ili kupata fununu kuhusu Abubakar Al-Baghdadi
Jul 25, 2017 22:38Wizara ya Ulinzi ya Iraq imetangaza kuwa magaidi 87 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, raia wa nchi 17 tofauti wanasailiwa kwenye jela za usalama za nchi hiyo ili kupata fununu na taarifa kuhusu kinara wa kundi hilo la kitakfiri Abubakar Al-Baghdadi.