Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Vita ya Maʼrib, muungano wa Saudi Arabia na Daesh na jitihada za kukimbia kinamasi cha Yemen

    Vita ya Maʼrib, muungano wa Saudi Arabia na Daesh na jitihada za kukimbia kinamasi cha Yemen

    Feb 20, 2021 02:55

    Sambamba na kuendelea kusonga mbele wapiganaji wa makundi ya kujitolea ya Yemen kuelekea Maʼrib, Saudi Arabia imeamua kutuma askari wa ziada nchini Yemen na kutumia wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh huku nchi za Kiarabi zikifanya juhudi kubwa za kidiplomasia za kuzuia fedheha na kushindwa Riyadh na waitifaki wake katika kinamasi cha Yemen.

  • DAESH (ISIS) yakiri kuwa inapigana bega kwa bega na Saudia katika vita dhidi ya Yemen

    DAESH (ISIS) yakiri kuwa inapigana bega kwa bega na Saudia katika vita dhidi ya Yemen

    Feb 19, 2021 02:23

    Kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) limetangaza kuwa linashiriki katika operesheni ya kijeshi na vita dhidi ya harakati ya Ansarullah ya Yemen katika eneo la Ma'rib.

  • Tishio la kurejea upya kundi la Daesh huko Iraq

    Tishio la kurejea upya kundi la Daesh huko Iraq

    Feb 09, 2021 02:28

    Harakati za kundi la Daesh na pia mapigano kati ya kundi la Hashdu Shaabi la Iraq na masalia ya kundi hilo la kigaidi yameongezeka nchini humo katika miezi ya karibuni.

  • Makao ya uongozi mpya wa Daesh  huko al Anbar yasambaratishwa

    Makao ya uongozi mpya wa Daesh huko al Anbar yasambaratishwa

    Jan 29, 2021 02:06

    Wapiganaji wa Harakati ya Hashdu Shaabi ya Iraq wamesambaratisha makao ya uongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la jangwani katika mkoa wa al Anbar magharibi mwa nchi hiyo.

  • Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq

    Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq

    Jan 25, 2021 23:38

    Jana Jumatatu, Januari 25, 2021, Brigedia Jenerali Yahya Rasoul, msemaji wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iraq alizungumzia ushahidi mpya uliopatikana kuhusu mashambulio ya hivi karibuni ya mjini Baghdad na kusema kuwa, hadi hivi sasa vikosi vya usalama vya Iraq vimefanikiwa kuzima majaribio kadhaa makubwa ya kujiripua kwa mabomu katika maeneo tofauti ya nchi hiyo. 

  • Shambulio la DAESH dhidi ya Al-Hashdu-Sha'abi lilifanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani

    Shambulio la DAESH dhidi ya Al-Hashdu-Sha'abi lilifanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani

    Jan 24, 2021 13:52

    Chombo kimoja cha habari nchini Iraq kimetangaza kuwa, shambulio la magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) dhidi ya wapiganaji wa Al-Hashdu-Sha'abi katika mkoa wa Salahuddin limefanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani.

  • Madai ya Pakistan dhidi ya India ya kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh

    Madai ya Pakistan dhidi ya India ya kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh

    Jan 13, 2021 03:00

    Waziri Mkuu wa Pakistan amedai kuwa, India imekuwa ikivuruga amani na usalama wa Pakistan kutokana na hatua zake za kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh.

  • Katika Maktaba ya Qassim Suleimani (mwaka mmoja tangu kuuawa  kwake shahidi)

    Katika Maktaba ya Qassim Suleimani (mwaka mmoja tangu kuuawa kwake shahidi)

    Jan 02, 2021 08:59

    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo.

  • Khatibzadeh:  Jamii ya kimataifa iwe macho mbele ya kuenea upya fikra za Daesh

    Khatibzadeh: Jamii ya kimataifa iwe macho mbele ya kuenea upya fikra za Daesh

    Dec 11, 2020 13:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma pongezi kwa serikali ya wananchi wa Iraq katika maadhimisho yao ya mwaka wa tatu tangu kusambaratishwa genge la kigaidi na ukufurishaji la Desh (ISIS) nchini humo na kuitaka jamii ya kimataifa iwe macho mbele ya kuenea upya fikra za Kidaesh duniani.

  • Hashdu Sha'abi yaanza oparesheni mpya dhidi ya masalia ya Daesh mkoani Salahuddin, Iraq

    Hashdu Sha'abi yaanza oparesheni mpya dhidi ya masalia ya Daesh mkoani Salahuddin, Iraq

    Dec 10, 2020 12:12

    Sambamba na kumbukumbu ya kutimia mwaka wa tatu tangu Iraq ipate ushidni dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo; vikosi vya Harakati ya kujitolea ya wananchi wa Iraq Hashdu Sha'abi vimeanza oparesheni mpya katika mkoa wa Salahuddin mashariki mwa Iraq. Lengo la oparesheni hiyo mpya ni kuwasaka mabaki ya mamluki wa kundi la kigaidi la Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS