-
Vita ya Maʼrib, muungano wa Saudi Arabia na Daesh na jitihada za kukimbia kinamasi cha Yemen
Feb 20, 2021 02:55Sambamba na kuendelea kusonga mbele wapiganaji wa makundi ya kujitolea ya Yemen kuelekea Maʼrib, Saudi Arabia imeamua kutuma askari wa ziada nchini Yemen na kutumia wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh huku nchi za Kiarabi zikifanya juhudi kubwa za kidiplomasia za kuzuia fedheha na kushindwa Riyadh na waitifaki wake katika kinamasi cha Yemen.
-
DAESH (ISIS) yakiri kuwa inapigana bega kwa bega na Saudia katika vita dhidi ya Yemen
Feb 19, 2021 02:23Kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) limetangaza kuwa linashiriki katika operesheni ya kijeshi na vita dhidi ya harakati ya Ansarullah ya Yemen katika eneo la Ma'rib.
-
Tishio la kurejea upya kundi la Daesh huko Iraq
Feb 09, 2021 02:28Harakati za kundi la Daesh na pia mapigano kati ya kundi la Hashdu Shaabi la Iraq na masalia ya kundi hilo la kigaidi yameongezeka nchini humo katika miezi ya karibuni.
-
Makao ya uongozi mpya wa Daesh huko al Anbar yasambaratishwa
Jan 29, 2021 02:06Wapiganaji wa Harakati ya Hashdu Shaabi ya Iraq wamesambaratisha makao ya uongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la jangwani katika mkoa wa al Anbar magharibi mwa nchi hiyo.
-
Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq
Jan 25, 2021 23:38Jana Jumatatu, Januari 25, 2021, Brigedia Jenerali Yahya Rasoul, msemaji wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iraq alizungumzia ushahidi mpya uliopatikana kuhusu mashambulio ya hivi karibuni ya mjini Baghdad na kusema kuwa, hadi hivi sasa vikosi vya usalama vya Iraq vimefanikiwa kuzima majaribio kadhaa makubwa ya kujiripua kwa mabomu katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.
-
Shambulio la DAESH dhidi ya Al-Hashdu-Sha'abi lilifanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani
Jan 24, 2021 13:52Chombo kimoja cha habari nchini Iraq kimetangaza kuwa, shambulio la magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) dhidi ya wapiganaji wa Al-Hashdu-Sha'abi katika mkoa wa Salahuddin limefanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani.
-
Madai ya Pakistan dhidi ya India ya kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh
Jan 13, 2021 03:00Waziri Mkuu wa Pakistan amedai kuwa, India imekuwa ikivuruga amani na usalama wa Pakistan kutokana na hatua zake za kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh.
-
Katika Maktaba ya Qassim Suleimani (mwaka mmoja tangu kuuawa kwake shahidi)
Jan 02, 2021 08:59Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo.
-
Khatibzadeh: Jamii ya kimataifa iwe macho mbele ya kuenea upya fikra za Daesh
Dec 11, 2020 13:31Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma pongezi kwa serikali ya wananchi wa Iraq katika maadhimisho yao ya mwaka wa tatu tangu kusambaratishwa genge la kigaidi na ukufurishaji la Desh (ISIS) nchini humo na kuitaka jamii ya kimataifa iwe macho mbele ya kuenea upya fikra za Kidaesh duniani.
-
Hashdu Sha'abi yaanza oparesheni mpya dhidi ya masalia ya Daesh mkoani Salahuddin, Iraq
Dec 10, 2020 12:12Sambamba na kumbukumbu ya kutimia mwaka wa tatu tangu Iraq ipate ushidni dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo; vikosi vya Harakati ya kujitolea ya wananchi wa Iraq Hashdu Sha'abi vimeanza oparesheni mpya katika mkoa wa Salahuddin mashariki mwa Iraq. Lengo la oparesheni hiyo mpya ni kuwasaka mabaki ya mamluki wa kundi la kigaidi la Daesh.