Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Dawa za Kulevya

  • Iran: Tuko tayari kuisaidia Afghanistan kulima mazao ya chakula badala ya mihadarati

    Iran: Tuko tayari kuisaidia Afghanistan kulima mazao ya chakula badala ya mihadarati

    Apr 06, 2022 02:51

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Afghanistan umesema kuwa, Tehran iko tayari kuisaidia Afghanistan kulima mazao ya chakula badala ya mmea wa mpopi unaozalisha mihadarati na madawa haramu ya kulevya.

  • Marekani yakabiliwa na mgogoro wa madawa ya kulevya

    Marekani yakabiliwa na mgogoro wa madawa ya kulevya

    Apr 06, 2022 02:50

    Mgogoro wa madawa ya kulevya na vifo vinavyosababishwa na matumizi ya mihadarati nchini Marekani vinazidi kuongezeka.

  • Marekani yaweka rekodi mbaya mpya; mara hii ni ya vifo vinavyotokana na madawa ya kulevya

    Marekani yaweka rekodi mbaya mpya; mara hii ni ya vifo vinavyotokana na madawa ya kulevya

    Nov 18, 2021 07:45

    Kituo cha udhibiti na uzuiaji maradhi cha Marekani kimetangaza kuwa kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo, takwimu za vifo vinavyosababishwa na matumizi ya kupindukia ya madawa ya kulevya zimevuka kiwango cha watu laki moja kwa mwaka.

  • Iran yakosoa baadhi ya nchi kwa kuzembea katika vita dhidi ya dawa za kulevya

    Iran yakosoa baadhi ya nchi kwa kuzembea katika vita dhidi ya dawa za kulevya

    Nov 11, 2021 05:09

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amezikosia baadhi ya nchi ambazo zimezembea katika vita dhidi ya dawa za kulevya au mihadarati.

  • Saudi Leaks: Bin Salman anatumia pombe, ni mraibu wa dawa za kulevya

    Saudi Leaks: Bin Salman anatumia pombe, ni mraibu wa dawa za kulevya

    Apr 27, 2021 04:20

    Mtandao wa Saudi Leaks umefichua kuwa, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman anatumia dawa za kulevya ni ni mraibu wa heroni.

  • Sisitizo la Russia juu ya mchango wa Marekani katika magendo ya madawa ya kulevya nchini Afghanistan

    Sisitizo la Russia juu ya mchango wa Marekani katika magendo ya madawa ya kulevya nchini Afghanistan

    Jul 08, 2020 04:19

    Mwaka 2001 Marekani iliishambulia kijeshi Afghanistan kwa kisingizio cha mashambulio ya Septemba 11 na ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa waipongeza Iran kwa jitihada zake za kupambana na dawa za kulevya

    Umoja wa Mataifa waipongeza Iran kwa jitihada zake za kupambana na dawa za kulevya

    Jun 23, 2020 10:51

    Mwakilishi wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kukabiliana na Mihadarati na Uhalifu (UNODC) hapa mjini Tehran ameishukuru Iran kwa jitihada zake za kupambana na mihadarati na kusema Iran imechukua hatua kubwa katika kunasa dawa za kulevya.

  • Iran inaongoza duniani katika kunasa dawa za kulevya

    Iran inaongoza duniani katika kunasa dawa za kulevya

    Apr 29, 2020 00:50

    Katibu wa Idara ya Kupambana na Dawa za Kulevya katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema pamoja na kuwepo vikwazo, Iran inaongoza katika kunasa idadi kubwa zaidi ya dawa za kulevya duniani; ambapo katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita imeweza kunasa tani 950 za aina kadhaa za dawa za kulevya.

  • Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Nov 25, 2019 02:52

    Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepinga uteuzi uliofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kumtangaza Ghada Wali, Waziri wa Ustawi za Jamii wa Misri kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Mihadarati na Jinai (UNODC).

  • Mahmoud Abbas: Dhulma ya Marekani haitodumu

    Mahmoud Abbas: Dhulma ya Marekani haitodumu

    Nov 24, 2019 11:33

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameonyesha kukasirishwa sana na uungaji mkono wa Marekani kwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi wanazoporwa Wapalestina na kusisitiza kuwa, dhulma ya Marekani haitodumu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS