-
Panetta: Trump anaelekea kuiangamiza Ulaya
Jul 08, 2018 23:56Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani amemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo na kusema kuwa siasa zisizotabirika za Trump zinakaribia kuiangamiza Ulaya.
-
Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Jul 04, 2018 02:53Maya Kuchiánchik, Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitizia azma ya Brussels kwa ajili ya kutekeleza kikamilifu na kwa namna chanya, makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Onyo la Trump kwa mashirika ya Ulaya; hatua mpya ya kuvuruga mapatano ya JCPOA
Jul 02, 2018 22:39Rais Donald Trump wa Marekani ameonya kwamba atayawekea vikwazo mashirika yote ya Ulaya ambayo yataamua kufanya biashara na Iran.
-
Maelfu ya Wamarekani waandamana dhidi ya sera za Trump kuhusu wahajiri
Jun 30, 2018 21:13Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani wakipinga sera na siasa za kuwapiga vita wahajiri hususan hatua ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ya kuwatenganisha watoto wahajiri na wazazi wao.
-
Mkuu wa Baraza la Ulaya atahadharisha kuhusu kuharibika uhusiano wa Umoja wa Ulaya na Marekani
Jun 29, 2018 03:13Donald Tuska, mwenyekiti wa Baraza la Ulaya amewataka viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya kujitayarisha kwa ajili ya hali mbaya zaidi katika uhusiano wa nchi hizo na Marekani. Amebainisha kuwa sera za Rais Donald Trump wa Marekani zinaenda kinyume na thamani za Umoja wa Ulaya.
-
Iran: Reuters inaeneza habari 50 za uongo kila siku dhidi yetu; uanagenzi wa Trump ni kwa manufaa ya Tehran
Jun 24, 2018 10:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria hatua zisizo za kimantiki za rais wa Marekani ikiwa ni pamoja na uamuzi wake wa kujitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa, matokeo ya hatua hizo ni kuzidi kuharibika jina la Donald Trump na kuzidi kunufaika Iran.
-
James Comey: Trump ndiye rais mbaya zaidi kati ya marais wote wa Marekani
Jun 22, 2018 21:56Mkuu wa zamani wa Polisi ya Federali nchini Marekani (FBI) amemtaja Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuwa ndiye rais mbaya zaidi kati ya marais wa Marekani katika historia ya nchi hiyo.
-
EU kutoa jibu kali kwa Marekani katika vita vya ushuru wa forodha
Jun 21, 2018 02:24Mkurugenzi Mkuu wa Biashara katika Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amesema kuwa umoja huo utatoa jibu kali kwa Marekani katika vita ya ushuru wa forodha.
-
New York Times: Ufalme wa Marekani unaendelea kuporomoka
Jun 19, 2018 22:12Gazeti la New York Times la nchini Marekani limeandika ripoti ya ukosoaji kwamba, Rais Donald Trump wa nchi hiyo anaigeuza Marekani kuwa mbabe ambaye haogopwi tena katika nafsi za upande wa pili.
-
Mshauri wa Obama: Trump anaiaibisha Marekani duniani
Jun 18, 2018 21:52Al Sharpton, mshauri wa aliyekuwa rais wa Marekani Barack Obama na mwanaharakati mkubwa wa haki za binaadamu nchini Marekani amesema kuwa, Rais Donald Trump amesababisha makundi ya mrengo wa kulia na yenye misimamo mikali kupata nguvu nchini humo.