-
IMF: Marekani iangalie upya sera zake dhidi ya Iran na Russia
May 26, 2018 03:13Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha Duniani IMF amemuasa Rais Donald Trump wa Marekani kuangalia upya sera zake za kushadidisha vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia.
-
Kongresi ya Marekani yampiga marufuku Trump kutangaza vita dhidi ya Iran
May 25, 2018 22:36Wabunge wa Kongresi ya Marekani wamepasisha kwa kauli moja muswada wa marekebisho ya sheria inayompiga marukufu Rais Donald Trump kutangaza vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bila ridhaa ya Bunge hilo.
-
Mwanahistoria wa Marekani: Trump atafikwa na hatima sawa na ya Nixon
May 22, 2018 03:26Mwanahistoria mashuhuri wa Marekani ametabiri kuwa urais wa Donald Trump utafikia tamati kwa kusailiwa kiongozi huyo.
-
Donald Trump awatusi tena wahajiri kwa kuwaita kuwa ni wanyama
May 19, 2018 02:15Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine ametoa matamshi mabaya yenye kuwavunjia heshima wahajiri au wahamiaji nchini humo kwa kuwataja kuwa ni wanyama.
-
Trump: Huenda kiongozi wa Korea Kaskazini akapatwa na hatima kama ya Gaddafi
May 18, 2018 23:43Rais Donald Trump wa Marekani amemuonya kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un kuwa huenda akapatwa na hatima kama iliyomfika kiongozi wa zamani wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, iwapo Pyongyang haitaachana na mradi wake wa silaha za nyuklia.
-
Leon Panetta: Serikali ya Trump inaficha ukweli kuhusiana na vita vya Afghanistan
May 14, 2018 22:11Waziri wa zamani wa Ulinzi nchini Marekani Leon Panetta ameikosoa serikali ya Rais Donald Trump kwa kuficha ukweli wa mambo kuhusiana na kile kinachoendelea kuhusu vita nchini Afghanistan.
-
Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani
May 11, 2018 03:44Kansela Angela Merkel wa Ujerumani kwa mara nyingine amesema nchi za Ulaya haziwezi kuendelea kuitegemea Marekani katika masuala ya kijeshi na kujihami. Merkel amewataka waitifaki wa Ujerumani barani Ulaya wachukue hatima ya bara hilo mikononi mwao kwani Marekani haiwezi kutegemewa tena.
-
Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani
May 10, 2018 10:01Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu limetaka kuchukuliwa hatua za lazima za kuimarisha usalama kwa ajili ya kuwalinda Waislamu ambao wana hatari ya kukumbwa na mashambulizi na unyanyasaji zaidi katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Wanachuo na wahadhiri nchini Iran walaani matamshi machafu ya rais wa Marekani
May 09, 2018 22:53Wahadhiri, wanachuo na jumuiya za wanachuo nchini wameandamana na kukusanyika mbele ya 'Pango la Ujasusi' la uliokuwa ubalozi wa Marekani hapa mjini Tehran kulaani maneno machafu aliyotoa rais wa Marekani.
-
Yukiya Amano: Iran imefungamana kikamilifu na makubaliano ya nyuklia
May 09, 2018 09:40Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa mara nyingine tena amethibitisha kwamba, Iran imeheshimu na kufungamana kikamilifu na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).