-
Rais wa Romania amtaka Waziri Mkuu ajiuzulu baada ya kutembelea Israel kwa siri
Apr 27, 2018 23:27Rais Klaus Iohannis wa Romania amemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Viorica Dancila ajiuzulu kutokana na safari yake ya siri katika utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Trump awaonya waitifaki wa Marekani watakaounga mkono kampeni ya Morocco ya Kombe la Dunia
Apr 27, 2018 08:54Rais Donald Trump wa Marekani amezionya nchi waitifaki ambazo zitaunga mkono kampeni ya Morocco ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Soka Duniani mwaka 2026.
-
Wananchi wa Uingereza: Tutaandamana dhidi ya Trump
Apr 27, 2018 03:34Makumi ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wametangaza kuwa wapo tayari kushiriki katika maandamano dhidi ya ziara ya Rais Donald Trump wa Mareani mjini London.
-
Mchango wa Trump katika mauaji ya Wapalestina
Apr 27, 2018 01:44Wapalestina wasiopungua 94 wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa utawala ghasibu wa Israel tangu Rais Donald Trump wa Marekani alipoutambua rasmi mji mtakatifu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.
-
Azma ya kimataifa kwa ajili ya kulinda mapatano ya JCPOA
Apr 26, 2018 08:41Huku tarehe 12 Mei ikiwa inakaribia, ambayo ni tarehe ya mwisho iliyoainishwa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, radiamali na harakati za serikali na viongozi wa kundi la 5+1 kwa ajili ya kulinda mapatano hayo zimeongezeka.
-
Trump aipigia magoti Iran, aiomba isianzishe tena mradi wake wa nyuklia
Apr 25, 2018 03:19Rais Donald Trump wa Marekani ameiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran isianzishe upya mradi wake wa nyuklia, muda mfupi baada ya Rais Hassan Rouhani wa Iran kuionya Washington dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna ya mwaka 2015.
-
Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi
Apr 23, 2018 00:09Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguo kuu la Iran endapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA ni kuanzisha tena shughuli za nyuklia za taifa hili zenye malengo ya amani lakini kwa kiwango cha juu na cha kisasa zaidi.
-
Trump athibitisha mkuu wa CIA amekutana kwa siri na kiongozi wa Korea Kaskazini
Apr 18, 2018 11:42Rais Donald Trump wa Marekani amethibitisha kuwa mkuu wa shirika la ujasusi la nchi hiyo CIA amekutana na kufanya mazungumzo ya siri na kiongozi wa Korea Kaskazini na kueleza kwamba hilo ni jambo zuri na hakuna tatizo lolote kufanya hivyo.
-
Trump: Mimi ni jasusi zaidi ya gaidi wa US anayezuiliwa Uturuki
Apr 18, 2018 03:12Rais Donald Trump amejitokeza na kumkingia kifua Padri mmoja raia wa Marekani aliyepandishwa kizimbani nchini Uturuki hivi karibuni kwa tuhuma za kujihusisha na harakati za kigaidi ndani ya taifa hilo.
-
Mogherini asisitiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran huku undumakuwili wa EU ukiendelea
Apr 17, 2018 03:48Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesistiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.