Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Waziri wa Ulinzi wa Marekani amuonya Trump asijaribu kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani amuonya Trump asijaribu kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

    Apr 16, 2018 09:52

    Waziri wa Ulinzi nchini Marekani, James N. Mattis amemuonya Rais Donald Trump wa nchi hiyo juu ya kuchukua aina yoyote ya hatua ya vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Trump akosolewa kwa kuishambulia Syria bila idhini ya Kongresi

    Trump akosolewa kwa kuishambulia Syria bila idhini ya Kongresi

    Apr 14, 2018 23:29

    Wabunge wa vyama vya Republican na Democrat nchini Marekani kwa pamoja wametoa radiamali wakimkosoa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa kuishambulia Syria bila ya kupata idhini ya Kongresi.

  • Jeshi la Syria lachukua udhibiti wa Ghouta Mashariki licha ya makelele ya Trump

    Jeshi la Syria lachukua udhibiti wa Ghouta Mashariki licha ya makelele ya Trump

    Apr 13, 2018 09:27

    Hatimaye jeshi na vikosi vya mapambano ya wananchi wa Syria vimechukua udhibiti kamili wa eneo la kistratijia la Ghouta Mashariki karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Damsacus, baada ya kujiri mapigano makali ya wiki kadhaa na magenge ya magaidi yanayoungwa mkono na nchi za Magharibi na Kiarabu.

  • Trump aelekeza vita vya kibiashara Afrika, Rwanda yajibu mapigo

    Trump aelekeza vita vya kibiashara Afrika, Rwanda yajibu mapigo

    Apr 12, 2018 10:18

    Baada ya kuanzisha vita vya kibiashara dhidi ya nchi za Asia na Ulaya na kupata jibu kali, sasa Rais wa Marekani Donald Trump anaonekena kueelekeza vita hivyo kwa nchi za Afrika.

  • Weledi wa kisiasa: Huwenda Rais Trump akakumbwa na hatma ya Richard Nixon

    Weledi wa kisiasa: Huwenda Rais Trump akakumbwa na hatma ya Richard Nixon

    Apr 02, 2018 10:30

    Kuendelea kufichuliwa kashfa mbalimbali zinazomuhusu rais wa Marekani, Donald Trump kumetajwa na weledi wa masuala ya kisiasa nchini humo kuwa kutapelekea rais huyo kujiuzulu kabla ya kumaliza muda wake.

  • Trump adai askari wa Marekani wataondoka Syria hivi karibuni

    Trump adai askari wa Marekani wataondoka Syria hivi karibuni

    Mar 29, 2018 22:31

    Rais Donald Trump wa Marekani amedai kuwa askari wa nchi hiyo wataondoka katika ardhi ya Syria hivi karibuni.

  • Trump aunga mkono tena sheria ya kumiliki bunduki kiholela nchini Marekani

    Trump aunga mkono tena sheria ya kumiliki bunduki kiholela nchini Marekani

    Mar 28, 2018 11:31

    Kwa mara nyingine tena rais wa Marekani, Donald Trump ameunga mkono sheria inayoruhusu kuuzwa na kumiliki bunduki kiholela nchini humo.

  • Trump awafukuza wanadiplomasia 60 wa Russia, Putin asema atalipiza kisasi

    Trump awafukuza wanadiplomasia 60 wa Russia, Putin asema atalipiza kisasi

    Mar 26, 2018 11:21

    Rais Donald Trump wa Marekani amewafukuza makumi ya wanadiplomasia wa Russia walioko nchini Marekani kufuatia kwa kusingizio cha kupewa sumu jasusi wa zamani wa Russia nchini Uingereza.

  • Mcheza filamu za ngono atishiwa usalama wake kwa kumsakama Donald Trump

    Mcheza filamu za ngono atishiwa usalama wake kwa kumsakama Donald Trump

    Mar 26, 2018 03:20

    Mcheza filamu chafu za ngono ambaye amepata umaarufu kwa kufichua kwamba aliwahi kutembea kimwili kwa miezi kadhaa na rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa amepokea vitisho kutoka kwa watu wasiojulikana wakimtaka aache kumsakama Trump.

  • Netanyahu afurahishwa na hatua ya Trump ya kuikatia misaada Mamlaka ya Ndani ya Palestina

    Netanyahu afurahishwa na hatua ya Trump ya kuikatia misaada Mamlaka ya Ndani ya Palestina

    Mar 26, 2018 03:08

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameelezea kufurahishwa sana na hatua ya rais wa Marekani na Baraza la Congress la nchi hiyo ya kupasisha sheria inayojulikana kwa jina la Taylor Force ambayo inaamrisha kukatwa misaada ya Marekani kwa Mamlaka ya Ndani ya Palestina inayoongozwa na Mahmoud Abbas.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS