-
Congress ya Marekani yapasisha muswada wa kupiga marufuku mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati.
Jul 19, 2019 21:56Katika juhudi za kuwaunga mkono washirika wake wa kieneo na kunufaika kifedha na mauzo ya silaha, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ilitangaza hali ya hatari bandia ya kitaifa kwa lengo la kukwepa vikwazo vya kisheria vya bunge la nchi hiyo na hivyo kupata mwanya wa kuziuzia Saudia, Imarati na Jordan silaha za thamani ya dola bilioni 8.
-
Araqchi: Labda Wamarekani wametungua droni yao wenyewe kwa kudhani ni ya Iran
Jul 19, 2019 03:08Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu madai ya rais wa Marekani ya kwamba meli ya kivita ya nchi hiyo eti imetungua ndege isiyo na rubani ya Iran katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kusema kuwa, pengine Wamarekani wametungua droni yao wenyewe kwa kudhani ni ya Iran.
-
Kauli hasi ya Trump kwa sababu ya kupatiwa Uturuki vifaa vya mfumo wa makombora wa S-400 wa Russia
Jul 17, 2019 21:50Uamuzi wa Uturuki wa kununua mfumo wa kisasa wa makombora ya ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia umezusha mikwaruzano mikubwa ambayo haijawahi kushuhudiwa katika uhusiano wa Uturuki na Marekani.
-
Dunia yamlaani Trump kwa kuwatukana wabunge wanawake wa Marekani
Jul 16, 2019 02:54Viongozi na wanasiasa kote duniani wameendelea kumlaani Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuwadhalilisha na kuwatukana matusi ya kibaguzi wabunge wanawake wa chama cha Democrat katika Kongresi ya Marekani.
-
Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani: Madai ya nyuklia ya Trump dhidi ya Iran ni urongo mtupu
Jul 15, 2019 02:44Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani William Perry amesema, madai aliyotoa rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba Iran inaendelea kurutubisha urani kwa siri ni urongo mtupu.
-
Nyaraka: Trump aliiondoa Marekani JCPOA ili kumuudhi Obama
Jul 14, 2019 02:02Balozi wa Uingereza mjini Washington aliyejiuzulu siku chache zilizopita baada ya kuhitalifiana na kushambuliana kwa maneno na Donald Trump amesema rais huyo wa Marekani aliiondoa nchi hiyo katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa lengo la kumuudhi mtangulizi wake, Barack Obama.
-
El Baradei akosoa siasa za Donald Trump dhidi ya Iran
Jul 13, 2019 06:41Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali hatua ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile sera za nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria
Jul 09, 2019 03:48Rais Donald Trump wa Marekani Disemba mwaka 2018 aliwaahidi Wamarekani kwamba ataliondoa jeshi la nchi hiyo huko Syria. Trump alitoa ahadi hiyo katika kile kinachoaminika kuwa ni sehemu ya kutekeleza kampeni yakee ya kubakia ikulu ya White House.
-
Trump awashambulia George W. Bush na John McCain wa chama chake
Jul 05, 2019 23:40Rais Donald Trump wa Marekani amewashambulia viongozi wa chama chake cha Republican akiwemo George W. Bush, rais wa zamani wa nchi hiyo pamoja na John McCain, kupitia mahojiano na mwandishi mmoja wa vitabu.
-
Uungaji mkono wa rais wa Misri kwa Haftar katika mazungumzo yake ya simu na Trump
Jul 05, 2019 02:39Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Misri amesema kuwa rais wa nchi hiyo amezungumza na mwenzake wa Marekani kuhusiana na masuala ya Libya na Sudan.