Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wamechoshwa na mitazamo ya Donald Trump

    Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wamechoshwa na mitazamo ya Donald Trump

    Jul 04, 2019 01:50

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, wananchi wa Marekani wamechoshwa na mitazamo ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Rais Rouhani: Kama Marekani inaogopa moto basi haipaswi kuwasha muale

    Rais Rouhani: Kama Marekani inaogopa moto basi haipaswi kuwasha muale

    Jul 03, 2019 08:31

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yana manufaa kwa mataifa yote, eneo la Mashariki ya Kati na dunia nzima na kuongeza kuwa, Kama Marekani inaogopa moto haipaswi kuwasha muale na itekeleze maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Trump abadili msimamo wake kuhusiana na  Afghanistan

    Trump abadili msimamo wake kuhusiana na Afghanistan

    Jul 02, 2019 21:58

    Rais wa Marekani amebadili msimamo wake kuhusu matamshi aliyotoa katika mahojiano aliyofanyiwa huko nyuma kuhusu kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan.

  • Trump akanyaga ardhi ya Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jon-un

    Trump akanyaga ardhi ya Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jon-un

    Jun 30, 2019 03:20

    Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini.

  • Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump

    Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump

    Jun 28, 2019 23:32

    Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.

  • Zarif amjibu Trump, asema 'vita vifupi na Iran' ni njozi

    Zarif amjibu Trump, asema 'vita vifupi na Iran' ni njozi

    Jun 27, 2019 10:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja kama njozi na ndoto za alinacha matamshi ya Rais Donald Trump ambaye amedai kuwa iwapo Marekani itaingia katika vita na Iran, basi vita hivyo havitadumu kwa muda mrefu.

  • Trump atoa radiamali kufuatia kuaga dunia baba na binti yake wahajiri wa El Salvador

    Trump atoa radiamali kufuatia kuaga dunia baba na binti yake wahajiri wa El Salvador

    Jun 27, 2019 03:44

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa radiamali kufuatia kusambaa picha katika vyombo vya habari zinazomuonyesha baba na binti yake wa mwaka mmoja, ambao ni wahajiri wa El Salvador na waliofariki dunia kwa kuzama maji wakijaribu kuingia Marekani ambapo amewatwisha mzigo wa lawama wanachama wa Democrat na tukio hilo la maafa.

  • Amir Abdollahian: Njia pekee ya kuokoka Trump ni kubadilika mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu wa Iran

    Amir Abdollahian: Njia pekee ya kuokoka Trump ni kubadilika mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu wa Iran

    Jun 27, 2019 08:15

    Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, njia pekee ya kuweza kuokoka rais wa Marekani, Donald Trump ni kubadilisha mienendo yake mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu na taifa kubwa la Iran.

  • Carter: Vita vyote vya Marekani havijakuwa na manufaa

    Carter: Vita vyote vya Marekani havijakuwa na manufaa

    Jun 25, 2019 22:22

    Rais wa zamani wa Marekani amekiri kuwa vita vyote vilivyoendeshwa na Marekani hadi kufiki sasa havijakuwa na udharura wala manufaa.

  • Trump atishia kumfuta kazi afisa wa ngazi ya juu zaidi wa benki Marekani

    Trump atishia kumfuta kazi afisa wa ngazi ya juu zaidi wa benki Marekani

    Jun 25, 2019 08:11

    Rais wa Marekani ametishia kumfukuza Gavana wa Benki kuu ya nchi hiyo. Trump amesema licha ya kuwa ana uwezo wa kumfuta kazi Jerome Powell lakini hana nia ya kufanya hivyo kwa sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS