-
Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wamechoshwa na mitazamo ya Donald Trump
Jul 04, 2019 01:50Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, wananchi wa Marekani wamechoshwa na mitazamo ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Rais Rouhani: Kama Marekani inaogopa moto basi haipaswi kuwasha muale
Jul 03, 2019 08:31Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yana manufaa kwa mataifa yote, eneo la Mashariki ya Kati na dunia nzima na kuongeza kuwa, Kama Marekani inaogopa moto haipaswi kuwasha muale na itekeleze maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Trump abadili msimamo wake kuhusiana na Afghanistan
Jul 02, 2019 21:58Rais wa Marekani amebadili msimamo wake kuhusu matamshi aliyotoa katika mahojiano aliyofanyiwa huko nyuma kuhusu kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan.
-
Trump akanyaga ardhi ya Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jon-un
Jun 30, 2019 03:20Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini.
-
Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump
Jun 28, 2019 23:32Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.
-
Zarif amjibu Trump, asema 'vita vifupi na Iran' ni njozi
Jun 27, 2019 10:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja kama njozi na ndoto za alinacha matamshi ya Rais Donald Trump ambaye amedai kuwa iwapo Marekani itaingia katika vita na Iran, basi vita hivyo havitadumu kwa muda mrefu.
-
Trump atoa radiamali kufuatia kuaga dunia baba na binti yake wahajiri wa El Salvador
Jun 27, 2019 03:44Rais Donald Trump wa Marekani ametoa radiamali kufuatia kusambaa picha katika vyombo vya habari zinazomuonyesha baba na binti yake wa mwaka mmoja, ambao ni wahajiri wa El Salvador na waliofariki dunia kwa kuzama maji wakijaribu kuingia Marekani ambapo amewatwisha mzigo wa lawama wanachama wa Democrat na tukio hilo la maafa.
-
Amir Abdollahian: Njia pekee ya kuokoka Trump ni kubadilika mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu wa Iran
Jun 27, 2019 08:15Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, njia pekee ya kuweza kuokoka rais wa Marekani, Donald Trump ni kubadilisha mienendo yake mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu na taifa kubwa la Iran.
-
Carter: Vita vyote vya Marekani havijakuwa na manufaa
Jun 25, 2019 22:22Rais wa zamani wa Marekani amekiri kuwa vita vyote vilivyoendeshwa na Marekani hadi kufiki sasa havijakuwa na udharura wala manufaa.
-
Trump atishia kumfuta kazi afisa wa ngazi ya juu zaidi wa benki Marekani
Jun 25, 2019 08:11Rais wa Marekani ametishia kumfukuza Gavana wa Benki kuu ya nchi hiyo. Trump amesema licha ya kuwa ana uwezo wa kumfuta kazi Jerome Powell lakini hana nia ya kufanya hivyo kwa sasa.