Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; hatua ya kukata tamaa watawala wa Washington

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; hatua ya kukata tamaa watawala wa Washington

    Jun 25, 2019 07:39

    Baada ya Rais Trump wa Marekani kuchukua hatua ya kuiondoa nchi yake katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mnamo tarehe 8 Mei mwaka uliopita, serikali yake ilianza kutekeleza vikwazo vya nyuklia dhidi ya taifa la Iran.

  • Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake

    Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake

    Jun 25, 2019 02:25

    Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim sambamba na kulaani hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne' amesema mpango huo wa Rais Donald Trump wa Marekani unakusudia kuwapokonya Wapalestina haki zao zote na kuuza kila kitu kinachomilikiwa nao yakiwemo maeneo matakatifu.

  • Marekani imechanganyikiwa katika sera zake kuhusu Iran

    Marekani imechanganyikiwa katika sera zake kuhusu Iran

    Jun 24, 2019 03:34

    Utawala wa Marekani unaendelea kuchanganyikiwa katika sera zake kuhusu Iran na hali hiyo ilifikia kilele chake baada ya ndege isiyo na rubani (drone) ya kijasusi ya Marekani kutunguliwa na vikosi vya kijeshi vya Iran Alhamisi iliyopita.

  • Zarif: Timu B ilijaribu kumtia mtegoni Trump aingie katika vita na Iran

    Zarif: Timu B ilijaribu kumtia mtegoni Trump aingie katika vita na Iran

    Jun 23, 2019 23:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema tukio la hivi karibuni la drone ya Marekani kukiuka anga ya Iran katika Bahari ya Oman ilikuwa sehemu ya njama pana za wapenda vita (Timu B) kumtia mtegoni Rais Donald Trump wa Marekani ili aingie katika vita na Iran.

  • Meya wa London amkejeli Trump, asema ni mtoto wa futi sita

    Meya wa London amkejeli Trump, asema ni mtoto wa futi sita

    Jun 23, 2019 08:31

    Meya wa jiji la London nchini Uingereza amerudisha mapigo ya mashambulizi ya maneno na bwabwaja za Rais Donald Trump wa Marekani na kumtaja kuwa ni mtoto mdogo mwenye futi 6.

  • Mwandishi wa habari asema Trump alimbaka miaka ya 1990

    Mwandishi wa habari asema Trump alimbaka miaka ya 1990

    Jun 22, 2019 08:42

    Rais Donald Trump wa Marekani anaandamwa na kashfa nyingine ya ufuska baada ya mwanadishi wa habari kwa jina E. Jean Carroll, kufichua kuwa kiongozi huyo wa Marekani wakati huo akiwa mjasiriamali alimbaka katikati ya miaka 90.

  • Wajumbe wa Kongresi ya Marekani wamuonya Trump juu ya chokochoko zozote dhidi ya Iran

    Wajumbe wa Kongresi ya Marekani wamuonya Trump juu ya chokochoko zozote dhidi ya Iran

    Jun 21, 2019 03:24

    Wawakilishi wanne wa Bunge la Kongresi nchini Marekani wamemuonya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran kufuatia kutunguliwa na jeshi la Iran ndege yake ya ujasusi Alkhamisi ya jana, baada ya rais huyo kutoa radiamali kuhusiana na kadhia hiyo.

  • Trump atoa radiamali kufuatia kuatunguliwa droni ya kijasusi ya Marekani

    Trump atoa radiamali kufuatia kuatunguliwa droni ya kijasusi ya Marekani

    Jun 21, 2019 00:19

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa radiamali ya kwanza kufuatia kutunguliwa na mfumo wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya Marekani ambapo amedai kwamba, eti Iran imefanya kosa kubwa.

  • Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Jun 21, 2019 00:08

    Wafanyabiashara na wawekezaji mashuhuri wa Kipalestina wametangaza bayana kuwa hawatoshiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne', wakisisitiza kuwa kile ambacho Wapalestina wanahitajia ni uhuru wao na wala sio fedha.

  • Trump awataka washauri wake wajiepushe na matamshi makali ya kupenda vita dhidi ya Iran

    Trump awataka washauri wake wajiepushe na matamshi makali ya kupenda vita dhidi ya Iran

    Jun 20, 2019 06:50

    Rais Donald Trump wa Marekani amewataka washauri wake wajiepushe na matamshi makali ya kichochezi na ya kupenda vita dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS